Ndeluningo
Member
- Sep 17, 2023
- 6
- 8
Nani apewe maua yake kwa review kali za magari: Abel Shoo wa East cars, dr.Mechanics, Mshana jr, Samatimes
Nimemfuatilia sana humu jukwaani jamaa ana madini sanaKwenye ufundi kuna Jitu la miraba minne🔥huyu nae ni balaa
Mwamba hana maringo,ukimcheck hata kwa WhatsApp anatatua shida.jitumirabaminneHao watu ni mafundi wa magari? Tofautisha kuchambua magari na kuwa fundi
JituMirabaMinne huyu ni fundi na anaingia deep Sana kwenye magari tofauti na wengine wanaofanya biashara za mitandaoni...
Huyo samatime kuna siku alikuwa anapewa darasa hapa jukwaani na jitumirabaminne kuhusu matatizo ya BMW X1 20i...alifunsishwa vitu ambavyo havijui na hakuwahi kuvijua.
Hao wengine ni wajanja Tu wa mjini
yeah very trueHao wengine siwajui ila Mshana na Jitu la Miraba Minne wanajua.
Nampataje whatsapp mkuu? Nina shida nayeMwamba hana maringo,ukimcheck hata kwa WhatsApp anatatua shida.jitumirabaminne
Samatime ana page yake whatsap,inaitwa samatime coaching,huko kuna manguli kweli kweli,sama mwenyewe sometimes anatulia kwa adabu anameza madini, hilo group ni motoAbel Shoo wa East cars yupo juu kwa video reviews, Samatime review za kuandika
-Abel Shoo wa East Cars ana review magari akiwa anayaendesha ama kuyachambua live tunayaona, ni review za hands on, Videos zake pia zina ubora wa picha mzuri, lighting, sauti, n.k.
Samatime yupo vizuri kwenye Kureview kwa kuandika
Weka link ya account yake kwa videosAbel Shoo wa East cars yupo juu kwa video reviews, Samatime review za kuandika
-Abel Shoo wa East Cars ana review magari akiwa anayaendesha ama kuyachambua live tunayaona, ni review za hands on, Videos zake pia zina ubora wa picha mzuri, lighting, sauti, n.k.
Samatime yupo vizuri kwenye Kureview kwa kuandika