Nani anatoka Marekani kuja kutibiwa Tanzania?

Hakuna kisichoshindikana kwani hao watu wa marekani wana uspesho upi kutofautisha na binadamu wengine? Basi wangekua hawafi basi
 
Nimesikia Bush ana mapango wa kuja kupata operation ya busha JKCI pale mwaka huu mwezi wa 10... Ni tetesi tu lakini naamini Rais ana vyombo na taarifa zaidi kuliko mimi na wewe.
Juzi wakati Rais Samia alipotembelea Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete [siyo ule moyo wa Kikwete 🤣 uliopo ndani ya kidari chake], alisema kuwa alifarijika kusikia kwamba miongoni mwa wagonjwa wanaoenda hapo kutibiwa, wanatoka nchi za jirani na hata Marekani.

Hapo kwenye Marekani alisema kwa mshangao na msisitizo.

Haya hapa kwenye video maneno aliyoyasema. Anzia dakika ya 12:49 hadi 13:10.



Isije wakawa wamemlisha matango pori huyo mama!

Nani atoke Marekani aje Tanzania kutibiwa ugonjwa wa moyo?

Labda ni awe au wawe Wamarekani ambao tayari walikuwepo Tanzania [kwa sababu yoyote ile] halafu wakapatwa na matatizo ya moyo ndo wakapelekwa hapo kupata matibabu.

Ila mtu atoke Marekani na matatizo yake ya moyo aje Tanzania kwa ajili ya kupata matibabu hapo kwenye hiyo taasisi?

Ngumu kuamini….
 
Hakuna kisichoshindikana kwani hao watu wa marekani wana uspesho upi kutofautisha na binadamu wengine? Basi wangekua hawafi basi
Wale hawafi kienyeji kama hapa kwetu, ndo maana kiwango cha kawaida cha umri wa kuishi, Marekani ni miaka 96 kwetu miaka 52!
 
Nilidhani atutapata raisi muongo kama Magufuli atleast he was generic on matters he couldn’t explain scientific to boost his success.

But jeez 😫 hearing this woman trying to explain causes of non communicable diseases in relation with cardiovascular diseases was too much; add that to her prevention strategy geez.
Jamaa Una Piga kimomboo!
 
Juzi wakati Rais Samia alipotembelea Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete [siyo ule moyo wa Kikwete 🤣 uliopo ndani ya kidari chake], alisema kuwa alifarijika kusikia kwamba miongoni mwa wagonjwa wanaoenda hapo kutibiwa, wanatoka nchi za jirani na hata Marekani.

Hapo kwenye Marekani alisema kwa mshangao na msisitizo.

Haya hapa kwenye video maneno aliyoyasema. Anzia dakika ya 12:49 hadi 13:10.



Isije wakawa wamemlisha matango pori huyo mama!

Nani atoke Marekani aje Tanzania kutibiwa ugonjwa wa moyo?

Labda ni awe au wawe Wamarekani ambao tayari walikuwepo Tanzania [kwa sababu yoyote ile] halafu wakapatwa na matatizo ya moyo ndo wakapelekwa hapo kupata matibabu.

Ila mtu atoke Marekani na matatizo yake ya moyo aje Tanzania kwa ajili ya kupata matibabu hapo kwenye hiyo taasisi?

Ngumu kuamini….

Wonders never cease, my friend.

Amandla...
 
Hiyo NCHI inavyo pigiwa Dube AMERICA nenda sasa ndio utajua yakwamba LEMON ni ndimu au Chungwa.

Naweza kesumea AMERICA ndio Nchi ya hovyo among the western countries ni NCHI ambayo wenyewe wa wanakamsemo ...If you work hard you will archive the AMERICAN DREAM, but in a reality your will experience AMERICAN HELLFIRE.

f@ck white previllage....f@ck white supremacy .....f@ck y' all KAREN.
 
Wapo wagonjwa wanaotoka Marekani kuja kutibiwa Tanzania, ila haimaanishi magonjwa yao yalishindikana kwenye Hospital za Marekani na tena sio magonjwa ya moyo na kama ni ya moyo, wanakuja tz kujitibu kwa kutumia tiba mbadala ya mitishamba, sio kwenda kwenye taasisi ya moyo kakata kikwete
Unawajua hao Wamarekani wanaofanya hivyo?
 
System ya insurance ya marekani ni shiiida .UK ndo Wana healthcare nzuri so kama ni mmrekani mmatumbi kaamua kuja Kula matunda ya alikotoka Kwa kuogopa gharama za huko nae atahesabiwa ni mmrekani siyo ?
 
Juzi wakati Rais Samia alipotembelea Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete [siyo ule moyo wa Kikwete 🤣 uliopo ndani ya kidari chake], alisema kuwa alifarijika kusikia kwamba miongoni mwa wagonjwa wanaoenda hapo kutibiwa, wanatoka nchi za jirani na hata Marekani.

Hapo kwenye Marekani alisema kwa mshangao na msisitizo.

Haya hapa kwenye video maneno aliyoyasema. Anzia dakika ya 12:49 hadi 13:10.



Isije wakawa wamemlisha matango pori huyo mama!

Nani atoke Marekani aje Tanzania kutibiwa ugonjwa wa moyo?

Labda ni awe au wawe Wamarekani ambao tayari walikuwepo Tanzania [kwa sababu yoyote ile] halafu wakapatwa na matatizo ya moyo ndo wakapelekwa hapo kupata matibabu.

Ila mtu atoke Marekani na matatizo yake ya moyo aje Tanzania kwa ajili ya kupata matibabu hapo kwenye hiyo taasisi?

Ngumu kuamini….

Bila shaka atakuwa anawasema watu kama wewe ambaye ulilowea Marekani na sasa umerudi nyumbani!
 
Kigwangala akiwa Waziri wa Maliasili na Utalii alisema kwamba teknolojia ya kujifukiza iliyovumbuliwa na Magufuli ni nzuri na inasaidia kutibu korona hivyo itaanzishwa katika hoteli zote za kitalii na itauzwa mpaka nje.

Jibu laweza kua hapa.
 
Back
Top Bottom