luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,021
- 21,263
Nisaidie kuileta hapa asante.Hayo matunda ni mpiniges ngoja nakuletea picha
Nisaidie kuileta hapa asante.Hayo matunda ni mpiniges ngoja nakuletea picha
Wasiokuwa na bima huko Marekani?Mkuu kuna diaspora ndugu wanweza kuamua kupunguza gharama
Ngoja tuwasubiri nyie diaspora labda mtakua wa kwanzaJuzi wakati Rais Samia alipotembelea Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete [siyo ule moyo wa Kikwete uliopo ndani ya kidari chake], alisema kuwa alifarijika kusikia kwamba miongoni mwa wagonjwa wanaoenda hapo kutibiwa, wanatoka nchi za jirani na hata Marekani.
Hapo kwenye Marekani alisema kwa mshangao na msisitizo.
Haya hapa kwenye video maneno aliyoyasema. Anzia dakika ya 12:49 hadi 13:10.
Isije wakawa wamemlisha matango pori huyo mama!
Nani atoke Marekani aje Tanzania kutibiwa ugonjwa wa moyo?
Labda ni awe au wawe Wamarekani ambao tayari walikuwepo Tanzania [kwa sababu yoyote ile] halafu wakapatwa na matatizo ya moyo ndo wakapelekwa hapo kupata matibabu.
Ila mtu atoke Marekani na matatizo yake ya moyo aje Tanzania kwa ajili ya kupata matibabu hapo kwenye hiyo taasisi?
Ngumu kuamini….
Yaani wewe na wifi yako muache.kuwa busy na simu muwe mnaangalia watoto.Na kiumbe ambae anatoka marekani akaja tibiwa tanzania anakuwa ana matatizo ya akili. Tanzania hii ninayoijua unapeleka mgonjwa unaambiwa dr ambae atamshughulikia mgongwa wako hayupo tusubiri aje?
Bora enzi za JPM nidhamu ya kazi ilikuwepo ma dr muda wote wako kazini, hata mgonjwa akizidiwa dr anakuwepo sio zama hizi ma dr lazima wapigiwe simu.
Juzi mtoto wa wifi yangu alimeza mbegu ya tunda fulani (silijui kwa kiswahili) hilo tunda ni tamu kwa juu ukila utamu ukaisha ndani kunabaki kama ile mbegu ya mparachichi sasa hiyo ndo aliimeza kwa sababu lina ukubwa kama ya yai dogo hakuweza kuimeza ikabana juu kama puani hivi. Mtoto ana 1.3yrs
Mtoto kimbiza dispensary wakasema hawamuwezi, kimbiza hospital nyingine huko ndo walikutana na vituko. Huyo sijui ni ness sijui dr ni mmama wala hakumgusa mtoto. Anauliza kameza nini? Wakataja hilo tunda kwa kiluga chetu wala hakujali alibaki amekaa anauliza hilo ni tunda gani? hakuwaambia chochote.
Mtoto ashavimba pua uso damu zinatoka wakampeleka hospital nyingine ma dr chap wakaanza kazi baada ya muda akapiga chafya kikatoka.
Ati kwa upuuzi kama huu mtu anatoka marekani aje tibiwa tz? Kweli hii dunia ina mambo mengi.
Hapo umekwama, jina litabaki hivyo hivyo.Taasisi ya Kikwete, why him? The most corrupt leader of all times, badilisheni jina jamani. Tuwaenzi madakitari wa zamani, siyo Kikwete please!
Mkuu wewe ni CCM Baby,tena Team Magufuli Baby,na slogan yenu ni Tanzania kuwa Dana kantre,si ajabu Tanzania imetajirika kushinda USJuzi wakati Rais Samia alipotembelea Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete [siyo ule moyo wa Kikwete uliopo ndani ya kidari chake], alisema kuwa alifarijika kusikia kwamba miongoni mwa wagonjwa wanaoenda hapo kutibiwa, wanatoka nchi za jirani na hata Marekani.
Hapo kwenye Marekani alisema kwa mshangao na msisitizo.
Haya hapa kwenye video maneno aliyoyasema. Anzia dakika ya 12:49 hadi 13:10.
Isije wakawa wamemlisha matango pori huyo mama!
Nani atoke Marekani aje Tanzania kutibiwa ugonjwa wa moyo?
Labda ni awe au wawe Wamarekani ambao tayari walikuwepo Tanzania [kwa sababu yoyote ile] halafu wakapatwa na matatizo ya moyo ndo wakapelekwa hapo kupata matibabu.
Ila mtu atoke Marekani na matatizo yake ya moyo aje Tanzania kwa ajili ya kupata matibabu hapo kwenye hiyo taasisi?
Ngumu kuamini….
Dah... Tanzania imepita na inapita kipindi kigumu sanaKubwa kuliko ni pamoja na Rais wa Kuwait ni Saddam, siku ina masaa 48 na Tunajenga kwa pesa zetu wenyewe
Tanzania ni Tajiri kuliko US, "in Mataga's voice"......Yaani mbeba maboksi [kama mimi ] ambaye hana insurance [mimi sina health insurance ], na ana matatizo ya moyo, anarudi bongo kuja kupata matibabu hapo kwenye taasisi ya Kikwete?
Bongo huhitaji insurance kupata matibabu? Au ni bei rahisi kupata matibabu hata kama huna insurance?
Kukosa bima = kubipu kifoWasiokuwa na bima huko Marekani?
Kha! Nitoke mjini niende kijijini kumuangalizia wifi mtoto hapo mm ndo nilimwendea labour?Yaani wewe na wifi yako muache.kuwa busy na simu muwe mnaangalia watoto.