Nani alifaa baada ya Kifo Cha JPM?
Swali lako ni la kizushi, halina mashiko kwa sasa. Jambo la msingi ni no reform no election na kumuachilia huru Tundu Lissu bila masharti yoyote akiwa mzima wa afya tele.
 
Hilo ni swali la kijinga na kipumbavu kutoka kwa mtu mjinga na mpumbavu! Katiba ipo wazi na Serikali ya CCM inaiheshimu sana Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kuachana na katiba
Nipo hapa kujifunza
Hata kama swal la kijinga napata idea watu wanasemaje
Kuliko kujiona unajua kila kitu
 
Wanaosema swal la kijinga
Nimeuliza tuki assume eh yani unaonaje
Unapendekeza nini?
 
Kuachana na katiba
Nipo hapa kujifunza
Hata kama swal la kijinga napata idea watu wanasemaje
Kuliko kujiona unajua kila kitu
Kwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ukiishakuwa Makamu wa Rais, basi wewe ni "next president" akifariki aliyepo bila kujali kuna abled person in the cabinet or elsewhere! Ushanfahamu?mfano, leo kule Marekani, Makamu wa Rais ni JD Vance. Ni mtu mwenye uwezo mdogo sana kiakili, kimaono na Kiongozi, lakini ikitokea Mungu "akampenda zaidi" Trump, basi JD Vance ATAKUWA RAIS WA MAREKANI bila kujali udhaifu wake na uwezo mkubwa wa wengine walio Serikalini au nje ya Serikali.

Sijui unanielewa?
 
Kwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ukiishakuwa Makamu wa Rais, basi wewe ni "next president" akifariki aliyepo bila kujali kuna abled person in the cabinet or elsewhere! Ushanfahamu?mfano, leo kule Marekani, Makamu wa Rais ni JD Vance. Ni mtu mwenye uwezo mdogo sana kiakili, kimaono na Kiongozi, lakini ikitokea Mungu "akampenda zaidi" Trump, basi JD Vance ATAKUWA RAIS WA MAREKANI bila kujali udhaifu wake na uwezo mkubwa wa wengine walio Serikalini au nje ya Serikali.

Sijui unanielewa?
Nimeelewa
 
Ni bahati mbaya sana huyu mama haikuwa imedhaniwa kungetokea la kutokea ila baada ya kutokea lililotokea kulikua hakuna namna katiba ifuate.

Lile tukio limekua darasa la kutosha kwetu , tena darasa lililo na garama kubwa mno, tena bado tunaendelea kufunfishwa miaka mitano inayo futa kwamba katika kuwaza nafasi ua urais makamu wake azingatiwe sana , maana sisi ni binadamu hatuna mrefu wala mapana juu ya uso wa dunia.
 
Katiba iangaliwe huko mbele watu wanaweza kuuana kwa tamaa za uraisi, unapewa umakamu wa uraisi unatamani kuwa raisi kamili unamla mwenzako kichwa, Chalamila aliona mbali sijui kwa sasa kama ana akili hizo kabla ya kupewa uteuzi! Jibu atakuwa ameshakengeuka.
 
Ni bahati mbaya sana huyu mama haikuwa imedhamiwa kungetokea la kutokea ila baada ya kutokea lililotokea kulikua hakuna namna katiba ifuate.

Lile tukio limekua darasa la kutosha kwetu , tena darasa lililo na garama kubwa mno, tena bado tunaendelea kufunfishwa miaka mitano inayo futa kwamba katika kuwaza nafasi ua urais makamu wake azingatiwe sana , maana sisi ni binadamu hatuna mrefu wala mapana juu ya uso wa dunia.
Deputy azingatiwe na angaliwe Kwa jicho makini .


Kuna baadhi ya watu NI Warhol Sana anaweza kutumia position ya udeputy kujipatia URAIS Kama aka kama cha sas hivi
 
Haijalishi nani alikuwa anafaa...aliyekuwa anafuatia ni Makamu wake wa Rais
Jibu lako linaonyesha Makamu wake alikuwa hafai ila kwa sababu ya takwa la kikatiba hatukuwa na jinsi.

Sasa sema kama isingekuwa swala la kikatiba kwa maoni yako kama muuliza swali alivyouliza.

Ni nani angefaa, achana na "Haijalishi nani alikuwa anafaa" Tupe jina.
 
Back
Top Bottom