Nani alifaa baada ya Kifo Cha JPM?
Kikatiba mama alifaa, asingefaa asungewekwa pale, ila Mpango nilimkubali zaidi kama hayati Magufuli asingeondoka kibailojia ( Kifo )
 
Huyu raisi wa Zanzibar angeshika hatamu za uongozi.
Aisee, umewaza mbali...
Hata hivyo wazo lako ni jema kwamba; Katiba mpya itaje kuwa ikitokea Rais wa JMT 'akaenda zake' basi Rais wa SMZ ashike u-Rais wa JMT.
 
Hilo ni swali la kijinga na kipumbavu kutoka kwa mtu mjinga na mpumbavu! Katiba ipo wazi na Serikali ya CCM inaiheshimu sana Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ingekuwa inaheshimu katiba basi wangeheshimu na haki ya kuishi kama ilivyo ainishwa kwenye katiba kifungu cha 14 na 15 cha katiba ya JMT
 
Kwani katiba inasemaje??? Ni makamo wa Rais . Hili halina mjadala.
 
Dah Mabeyo alikuwa yeye na lango tu wakati huo kipa ashakubali tayari Chali kuleee
 
Ndugai angepokea kijiti ingekua poa sana.

Najua ndugai alikua rafiki mkubwa wa magu, angetuendeleza pakubwa sana.

Ila nae akachelewa kupindua meza, akaamua kuiachia katiba iamue ilihali yeye ndio anaongoza chombo kinachotunga sheria.

Ningekua mimi ndio mgogo, wakati wao wanatetea kwamba jamaa yuko fiti sio lazima aonekane.

Mimi ningeenda mjengoni na cameraman(hapa ningemchukua hanscana kwa picha kali na vi drone vyake.)

Nikifika mjengoni navaa mavazi yangu ya kazi, nachukua ile Fimbo naiweka kwenye meza, nachukua picha ya Nyerer, mwinyi, mkaapa,j.k na magu naziweka mbele ya fimbo.

nautangazia uma kuna watu wanataka kuchezeq madaraka hivyo nchi iko chini ya bunge, kwa maslahi mapana ya wengi

Hapo hapo unayabwaga unatoa amri bendera ipepee nusu mlingoti, nchi nzima.

Wao wangehamaki, maana hawawezi kukanusha bila kutibitisha, wananchi hawawezi kuwaelewa.

Kipindi kile kina zitto wanahoji tayari ilishakua too late, hivyo kipindi kile kile ndio angekiwasha , hao wengine wa upande wa kiremba wanģeonekana wana mpango kweli.

Total control ingekua upande wake angekua anaamua tu.
 
Lini iliwahi kuacha kuheshimu haki ya kuishi kwa Watanzania?
Basi uniambie hawa watu mmewahifadhi kwenye chumba gani huko chamani :-

Beni sanane
Ally kibao
Mdude nyangali
Yule dogo aliye chana picha
Na viongozi wengi wa CHADEMA ambao wamepotea mazingira tatanishi nabhawqjulikqni walipo kwa zaidi ya miaka minne
 
Back
Top Bottom