Nampenda tatizo ni hili

Nampenda tatizo ni hili

Kwenye tabia yake Sina tatizo nae cos kabla sijawa na uhusiano tulikuwa marafiki so namfahamu vizuri atawakati namtongoza aikuwa rahisi kukubali haraka alinipa jibu la ndio baada ya wiki tatu na before ya hapo aliwakataa wanaume Kama wanne ambao ninawajua ila me ndio nikapata bahati yakukubaliwa.Ni mwanamke Safi Sana anajua kumjari mwanaume alafu sio mjuaji ukiachana tu na tabia yake ya kuvaa hayo mavazi
Hukuwa na bahati, ila ulistahili kilicho bora.
 
Onyesha msimamo wako kwenye vitu unavyotaka au mienendo unayotaka afu mwache achague kipi afate mnaanzaga hivihivi afu kesho ukimuweka ndani unasema anajeuri wakati unamlegezea mwenyewe,tunawatestigi kwenye vitu vidogovidogo kama hivi...
 
Anafanya kazi ? Anavaa hivyo akiwa anaenda kazini au kanisani ?

Mavazi huwa inategemea na maeneo, ukiwa club ukavaa suti unaonekana ni mtu wa ajabu, na vile vile ukiwa kazini ukavaa pensi unaonekana ni mtu wa ajabu ( sio kazi zote ).

Kwa hiyo mkuu hapo kuna mawili, inawezekana wewe ni mshamba sana, au dada kweli amezidisha. Sisi hatuwezi jua mpaka PICHA.
 
Kwenye tabia yake Sina tatizo nae cos kabla sijawa na uhusiano tulikuwa marafiki so namfahamu vizuri atawakati namtongoza aikuwa rahisi kukubali haraka alinipa jibu la ndio baada ya wiki tatu na before ya hapo aliwakataa wanaume Kama wanne ambao ninawajua ila me ndio nikapata bahati yakukubaliwa.Ni mwanamke Safi Sana anajua kumjari mwanaume alafu sio mjuaji ukiachana tu na tabia yake ya kuvaa hayo mavazi
Wiki tatu tu ndo unahisi mufa mrefu kakuzungusha hapo. Dah kweli mapenzi ya mwendokasi haya
 
Pole sana mkuu, binafsi mimi ndo napenda wanawake wa namna hiyo
 
Hope anapenda vaa nguo fupi ndo zinakukera???
Kwa mtu anaejitambua kila nguo Sina sehemu yake!
Kanisani kuna nguo zake.
Msibani kuna nguo zake
Kutoka out kuna nguo zake
Kazini kuna nguo zake
Sasa tueleze hizo nguo ambazo hupendi anazivaa akiwa na wewe ama?
Umri wake??
Mm navaa nguo fupi ila haziwezi mkera mtu yeyote kama sketi ni magotini.
Huwezi yoka na bf wako, ukavaa nguo nusu uchi wakati unakuwa huko mwendako wahudumu nao wako nusu uchi sasa tofauti Mke na mhudumu ni ipi?

Nasema hivi kila nguo ina sehemu yake. Nguo ambayo ukivaa kila mtu akaguna haifai.

Watu tunavaa nguo fupi ila sio nguo fupi zaidi ya juu ya magoti.
Nina wasiwasi na umri wako na wa mchumba wako, kama wewe uko 35 mchumba 19 kuna shida, coz hill swala inabidi alitambuwe mwenyewe sio kwanza kuambiwa.
 
Hope anapenda vaa nguo fupi ndo zinakukera???
Kwa mtu anaejitambua kila nguo Sina sehemu yake!
Kanisani kuna nguo zake.
Msibani kuna nguo zake
Kutoka out kuna nguo zake
Kazini kuna nguo zake
Sasa tueleze hizo nguo ambazo hupendi anazivaa akiwa na wewe ama?
Umri wake??
Mm navaa nguo fupi ila haziwezi mkera mtu yeyote kama sketi ni magotini.
Huwezi yoka na bf wako, ukavaa nguo nusu uchi wakati unakuwa huko mwendako wahudumu nao wako nusu uchi sasa tofauti Mke na mhudumu ni ipi?

Nasema hivi kila nguo ina sehemu yake. Nguo ambayo ukivaa kila mtu akaguna haifai.

Watu tunavaa nguo fupi ila sio nguo fupi zaidi ya juu ya magoti.
Nina wasiwasi na umri wako na wa mchumba wako, kama wewe uko 35 mchumba 19 kuna shida, coz hill swala inabidi alitambuwe mwenyewe sio kwanza kuambiwa.
Umri wangu 23 na wa mpenzi wangu ni 23
 
Haiwezekani, nasema haiwezekani tabia na mavazi visiendane
Tunavaa kutoka ndani ya nafsi zetu.
It’s an alert ni muda tu utaongea!!
Huu nd'o ushauri kuntu kuliko shauri zote za uzi huu,
Akiuzingatia huu atakuja kukushuru soon.

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom