Nampenda tatizo ni hili

Nampenda tatizo ni hili

Kwenye tabia yake Sina tatizo nae cos kabla sijawa na uhusiano tulikuwa marafiki so namfahamu vizuri atawakati namtongoza aikuwa rahisi kukubali haraka alinipa jibu la ndio baada ya wiki tatu na before ya hapo aliwakataa wanaume Kama wanne ambao ninawajua ila me ndio nikapata bahati yakukubaliwa.Ni mwanamke Safi Sana anajua kumjari mwanaume alafu sio mjuaji ukiachana tu na tabia yake ya kuvaa hayo mavazi
Aliyesoma hiyo comment yako hapo juu kisha akaendelea kukushauri, hawezi kuwa hana matatizo ya akili!
 
Pole sana, inaonekana suala la umri limekuudhi sana, hii inaonesha una psychological problem huwezi kureact in a harsh manner like this just because of that mere question,
Anyway suala la umri utake usitake lina matter sana kwenye kuona uhalisia wa mambo, kuna kitu “experience” unakijua?? with age u experience and learn a lot, usitake kuniaminisha unajua sawasawa na mtoto wa darasa la kwanza utakuwa wewe ndio una kichaa sio mimi
U're mentally not OK. Nyie ndio mnaamini wazee peke yao ndio wenye busara na hakuna kijana mwenye busara. Acheni fikra potofu.

You can meet a boy at 40 and a man at 25.
 
  • Thanks
Reactions: T11
Unajua kuna binti ye alipozaliwa, alianza kuvalishwa nguo fupi fupi tuuu mpaka anakua anajitegemea ye niizoizo tu.


Sasa imeshakua nitabia ...nenda naye pole pole

Kama hatoweza kubadilika kwa ajili yako...wee badilika kwa ajili yake......

Ila liwe ni badiliko la Uzuri
 
Inaonekana umekuja kuomba ushauri ukiwa tayari na majibu yako

Nakazia, muonekano wa nje una angaza kilichomo ndani

Mwisho wa siku, wewe ndio muamuzi wa mwisho
 
Hakika yake! Ni kweli kabisa na tumeshaitwa vichaa hapa.
Humu tumo wengi tu! Na viherehere vyetu vya mamaushauri😀😀
Aliyesoma hiyo comment yako hapo juu kisha akaendelea kukushauri, hawezi kuwa hana matatizo ya akili!
 
Kwenye tabia yake Sina tatizo nae cos kabla sijawa na uhusiano tulikuwa marafiki so namfahamu vizuri atawakati namtongoza aikuwa rahisi kukubali haraka alinipa jibu la ndio baada ya wiki tatu na before ya hapo aliwakataa wanaume Kama wanne ambao ninawajua ila me ndio nikapata bahati yakukubaliwa.Ni mwanamke Safi Sana anajua kumjari mwanaume alafu sio mjuaji ukiachana tu na tabia yake ya kuvaa hayo mavazi
Una umri gani?
 
Duuuh anatabia nzuri, halafu anavaa vibaya, Sasa tabia nzuri ipo wap hapo?
 
Mfano uliotolea hauendani na uhalisia. Hapa naongelea mtu aliyeingia utu uzima kuanzia miaka 18--> sizungumzii mtoto wa darasa la saba.
Pole sana, inaonekana suala la umri limekuudhi sana, hii inaonesha una psychological problem huwezi kureact in a harsh manner like this just because of that mere question,
Anyway suala la umri utake usitake lina matter sana kwenye kuona uhalisia wa mambo, kuna kitu “experience” unakijua?? with age u experience and learn a lot, usitake kuniaminisha unajua sawasawa na mtoto wa darasa la kwanza utakuwa wewe ndio una kichaa sio mimi
Halafu tulikua tunazungumzia mavazi hayaendani na tabia ya mtu. Kuna watu wazima wanavaa hovyo kabisa unaweza sema wanajiuza au tabia zao mbovu lakini watu decent sana kuzidi hata mnaowaita wavaa vizuri.

Narudia tena badili fikra hizo potofu
 
Mfano uliotolea hauendani na uhalisia. Hapa naongelea mtu aliyeingia utu uzima kuanzia miaka 18--> sizungumzii mtoto wa darasa la saba.Halafu tulikua tunazungumzia mavazi hayaendani na tabia ya mtu. Kuna watu wazima wanavaa hovyo kabisa unaweza sema wanajiuza au tabia zao mbovu lakini watu decent sana kuzidi hata mnaowaita wavaa vizuri.

Narudia tena badili fikra hizo potofu
Kumbe hata uku upo mwambie huyu jamaa anaonekana kichwa chake kigumu kuelewa.
 
Mfano uliotolea hauendani na uhalisia. Hapa naongelea mtu aliyeingia utu uzima kuanzia miaka 18--> sizungumzii mtoto wa darasa la saba.Halafu tulikua tunazungumzia mavazi hayaendani na tabia ya mtu. Kuna watu wazima wanavaa hovyo kabisa unaweza sema wanajiuza au tabia zao mbovu lakini watu decent sana kuzidi hata mnaowaita wavaa vizuri.

Narudia tena badili fikra hizo potofu
Huna hoja wala
 
Kumbe hata uku upo mwambie huyu jamaa anaonekana kichwa chake kigumu kuelewa.
Mkuu huyu nahisi kalelewa maisha ya uoga uoga sana yale maisha ya kuogopa kufanya kitu akihofia dunia itamchukuliaje. Yan mentality yake inaamini vitu vya kizamani ambavyo havina uhalisia katika dunia ya kisasa ndio hawa wanaoamini single mothers hawastahili kuolewa yote kwa sababu dunia inawachukulia tofauti single mother. Nakushauri kama huyo demu tabia yake imetulia na hana shida usimuache shikilia hapohapo.
Huna hoja wala
Hoja ilikua meza kuu. Mimi nilikua nakuelewesha.
We dogo utakuja na uzi wa kulia soona
Mimi si jamaa, note that
Acha kutishia watu dada. Jaribu kubadilika.
 
Mkuu huyu nahisi kalelewa maisha ya uoga uoga sana yale maisha ya kuogopa kufanya kitu akihofia dunia itamchukuliaje. Yan mentality yake inaamini vitu vya kizamani ambavyo havina uhalisia katika dunia ya kisasa ndio hawa wanaoamini single mothers hawastahili kuolewa yote kwa sababu dunia inawachukulia tofauti single mother. Nakushauri kama huyo demu tabia yake imetulia na hana shida usimuache shikilia hapohapo.Hoja ilikua meza kuu. Mimi nilikua nakuelewesha.Acha kutishia watu dada. Jaribu kubadilika.
😀😀 naona unaanza kunibambika na sifa zisizo zangu, sasa nimekuelewa tatizo lako ni kuogopa kukosolewa low self esteem, wewe ulitakiwa uweke hoja sio kuwaattack watoa hoja wengine. Sasa ulishindwa nini kumshauri direct mpaka uje kunitusi kuwa naumwa akili.
Una umri gani kwanza?🤭
Ngoma ya watoto haikeshi
 
Kwenye tabia yake Sina tatizo nae cos kabla sijawa na uhusiano tulikuwa marafiki so namfahamu vizuri atawakati namtongoza aikuwa rahisi kukubali haraka alinipa jibu la ndio baada ya wiki tatu na before ya hapo aliwakataa wanaume Kama wanne ambao ninawajua ila me ndio nikapata bahati yakukubaliwa.Ni mwanamke Safi Sana anajua kumjari mwanaume alafu sio mjuaji ukiachana tu na tabia yake ya kuvaa hayo mavazi
Sifa nyiingi tu unazitoa,hiyo binti ni mtoto wa mwanamme mwenzio,kamhangaikia saana tu! Matarajio yake sio hayo!Kwa kifupi peleka posa kwao. Oa msaidizane na wakwao kumrekebisha. Sawa?
 
naona unaanza kunibambika na sifa zisizo zangu, sasa nimekuelewa tatizo lako ni kuogopa kukosolewa low self esteem, wewe ulitakiwa uweke hoja sio kuwaattack watoa hoja wengine. Sasa ulishindwa nini kumshauri direct mpaka uje kunitusi kuwa naumwa akili.
Una umri gani kwanza?
Ngoma ya watoto haikeshi
28
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom