Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184

SAWA
Sasa mbona rahisi tuu,
Haya bado una mengi ya kujifunza hata sisi tulikuwa wabishi kuliko wewe, ila maisha yametufunza mengi.
Barikiwa mdogo wangu im 40

Sasa mbona rahisi tuu,
Haya bado una mengi ya kujifunza hata sisi tulikuwa wabishi kuliko wewe, ila maisha yametufunza mengi.
Barikiwa mdogo wangu im 40
Mfano uliotolea hauendani na uhalisia. Hapa naongelea mtu aliyeingia utu uzima kuanzia miaka 18--> sizungumzii mtoto wa darasa la saba.Halafu tulikua tunazungumzia mavazi hayaendani na tabia ya mtu. Kuna watu wazima wanavaa hovyo kabisa unaweza sema wanajiuza au tabia zao mbovu lakini watu decent sana kuzidi hata mnaowaita wavaa vizuri.
Narudia tena badili fikra hizo potofu
I second this.Haiwezekani, nasema haiwezekani tabia na mavazi visiendane
Tunavaa kutoka ndani ya nafsi zetu.
It’s an alert ni muda tu utaongea!!
Ndo hawa wanaofungua nyuzi za kuchapiwa. Unakaaje na mwanamke sehemu zingine za mwili wake haoni haja ya kukuhifadhia?Mtu anayevaa vibaya hawezi kuwa decent ni malaya tu huyo acha kutetea ujinga.
Ndo hawa wanaofungua nyuzi za kuchapiwa. Unakaaje na mwanamke sehemu zingine za mwili wake haoni haja ya kukuhifadhia?
Salamu kwenu members
Me Nina mpenzi wangu ananipenda na me nampenda sana na tunaishi kwa upendo Sana na ananiheshimu na anatabia nzuri, mkarimu ila tatizo lake linaloniudhi ni mavazi yake hayana maadili na nimekuwa nikimshauri Mara kwa Mara anakuwa anakasirika na anasema anakuwa comfortable akiwa na hayo mavazi kuliko nguo zingine na ananiambia mbona yeye aniingilii me tabia yangu ya kupenda mpira.yaani kunakuaga na timbili kwel kwel hasa nikigusia masuala ya mavazi yake. kwa maeneo mengine yupo vizuri ila kwenye mavazi yake ndio mtihani
Kuna siku moja alinita tukutane off course nikaenda siku hiyo ilikuwa yeye ndo amenitoa out siku hiyo alivaa Kama kawaida yake yaani ukiwa unatuangalia utazani nimechukua kahaba tunaenda kuchukua guest na ukiangalia muonekano wangu ni wa upole,mstaharabu na mtaratibu yaani wanashangaa Sana mpenzi wangu kiukwel hiki kitu kinakera Sana na mtu mwenyewe ukimuonya hata asikii kwa mambo mengine atakuelewa lakini si kwenye mavazi.
Mavazi anayovaa hayafanani kabisa na tabia yake no vitu viwili tofauti
NAOMBENI USHAURI
Nduguzanguni nishaurini nifanyaje ili aache hi tabia yake yakuvaa mavazi yasio na maadili na amini baadhi yenu mtakuwa na ujuzi kuhusu hili.



! uso huuoni, mwanzoni hata ndugu walikuwa wananiuliza "Naiman unatatizo gani hadi unavaa hivi?' Naishia kucheka tu nashukuru wamenizoa, oa huyo binti kama kweli unampenda
Salamu kwenu members
Me Nina mpenzi wangu ananipenda na me nampenda sana na tunaishi kwa upendo Sana na ananiheshimu na anatabia nzuri, mkarimu ila tatizo lake linaloniudhi ni mavazi yake hayana maadili na nimekuwa nikimshauri Mara kwa Mara anakuwa anakasirika na anasema anakuwa comfortable akiwa na hayo mavazi kuliko nguo zingine na ananiambia mbona yeye aniingilii me tabia yangu ya kupenda mpira.yaani kunakuaga na timbili kwel kwel hasa nikigusia masuala ya mavazi yake. kwa maeneo mengine yupo vizuri ila kwenye mavazi yake ndio mtihani
Kuna siku moja alinita tukutane off course nikaenda siku hiyo ilikuwa yeye ndo amenitoa out siku hiyo alivaa Kama kawaida yake yaani ukiwa unatuangalia utazani nimechukua kahaba tunaenda kuchukua guest na ukiangalia muonekano wangu ni wa upole,mstaharabu na mtaratibu yaani wanashangaa Sana mpenzi wangu kiukwel hiki kitu kinakera Sana na mtu mwenyewe ukimuonya hata asikii kwa mambo mengine atakuelewa lakini si kwenye mavazi.
Mavazi anayovaa hayafanani kabisa na tabia yake no vitu viwili tofauti
NAOMBENI USHAURI
Nduguzanguni nishaurini nifanyaje ili aache hi tabia yake yakuvaa mavazi yasio na maadili na amini baadhi yenu mtakuwa na ujuzi kuhusu hili.
Hapana usimuhukumu mtu kwa mavazi, Wallahi nakuapia wengi walionihukumu Kwa mavazi yangu baadhi waliniomba.msamaha baada ya.kuwa nao karibu na kunijua nikoje. Taratibu ataacha labda awe na sababu zingine za yeye kuvaa hivyoMkuu kama huyo binti ni 18+ amini hata wazazi wake wameshindwa kumbadilisha. Ni ashakua sugu... . Utapasua kichwa chako bure piga usepe..
Maana hayo mavazi ni ya kutega wanaume... Ana karibisha na wengine pia wajipigie...
SawaMtu anayevaa vibaya hawezi kuwa decent ni malaya tu huyo acha kutetea ujinga.
Halafu nyie madogo wa umri huo mnaendeshwa Sana na mapenziUmri wangu 23 na wa mpenzi wangu ni 23
Umri unakusumbua weweUnataka kuniambia wiki tatu ni ndogo wakati Kuna mademu wengine siku moja tu unan'goa
KweliAliyesoma hiyo comment yako hapo juukisha akaendelea kukushauri, hawezi kuwa hana matatizo ya akili!
Nimekupata dadaHapana usimuhukumu mtu kwa mavazi, Wallahi nakuapia wengi walionihukumu Kwa mavazi yangu baadhi waliniomba.msamaha baada ya.kuwa nao karibu na kunijua nikoje. Taratibu ataacha labda awe na sababu zingine za yeye kuvaa hivyo