- Thread starter
- #21
Asante dada kwa ushauri mzuri.Mnunulie mavazi ya heshima na umsisitize kila mtokapo ayavae..mwambie atapendeza zaidi akivaa mavazi ya heshima.
Asante dada kwa ushauri mzuri.Mnunulie mavazi ya heshima na umsisitize kila mtokapo ayavae..mwambie atapendeza zaidi akivaa mavazi ya heshima.
Mavazi yasikuumize Sana kikubwa tabia na vile mlivyoshibana..muda utafika atayaacha tu,hakuna marefu yasiyo ncha.
Noma sana!Kama ni muaminifu anakujali shida ya nini muache afanye vile moyo unapenda usisikilize watu watu ni wanafki.. Fakeni homo sapien
Bora pombe kuliko watu
Sawa.Hakuna kitu kama hiki,ukikuta mavazi ya ovyo na ukimwambia haelewi basi tabia yake inaendana na mavazi yake.
Noma kwel mkuuNoma sana!
Kiufupi anapenda uzungu Fulani ila Hana hayo mambo ya vigodolo kuhusu mizinga Wala hanipi ila Ninaweza kumpa me kwa kupenda,mbona ananitoaga out sometime.kiufupi mahusiano yetu yapo win win situationInaonekana ata mizinga anayokupiga anaenda kununua nguo ili apendeze dem wko anapenda sana kuvaa, vp kuhusu vgodolo haendagi
Huwez badl tabia ya mtu naamin icho so make choices ur self
Me mwenyewe sipendi mavazi yakeKwahiyo hupendi mavazi yake kwa sababu unaona hayapendezi machoni kwa wengine?
Mahusiani ni ya nyie wawili achana na wengine wanachokiona kisa mavazi yake
Kama nilivyokuwambia Hana tabia mbaya nimeanza kuwa nae urafiki before ya uhusiano so namjua vizuri Sana na vitu vyake vingiHata kwenye ishu ya kuoa,mwanamke anatakiwa akusikilize ushauri unaompa..
Sasa hamjaona na hakusikilizi..
Ukimuoa itakuaje.?
Afu km anampenda ampe muda itafikia mahali watafanana wataendana vile anataka, saivi bado ni mtoto wa watu ajamuoa adi ampangie mavaziMavazi yasikuumize Sana kikubwa tabia na vile mlivyoshibana..muda utafika atayaacha tu,hakuna marefu yasiyo ncha.
Nimekuelewa kama mtoa uzi hajaelewa basi atasubiri sana. Haiwezekani mavazi yasiendane na tabia maandiko yanasema "litokalo mdomoni utengenezwa katika moyo" mdomo utumika kama spika tu.Haiwezekani, nasema haiwezekani tabia na mavazi visiendaneTunavaa kutoka ndani ya nafsi zetu.
It’s an alert ni muda tu utaongea!!
Kama nilivyokuwambia Hana tabia mbaya nimeanza kuwa nae urafiki before ya uhusiano so namjua vizuri Sana na vitu vyake vingi