Sauti ya amani
Member
- Jul 19, 2022
- 40
- 40
Wakuu napenda kuomba msaaada namna ya kutuma haya maombi ya ajira mpya ,je anwani za barua ni zipi?na kwa walioomba awali wanatumia mfumo upi asnth
TanoMsaada tutani, namjazi dogo hapa...hizi machaguo ya shule maximum ni mangapi?