Tyrex
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 2,280
- 4,730
Habarini wakuu wana JF wenzangu, kuna hizi kazi mpya za posta zimetoka ila ukiangalia namna ya ku apply wanataka utume maombi kwa njia ya EMS haijalishi kutoka wap yani hata kama nikienda makao makuu na barua yangu lazma niiwasilishe hivo na kuna malipo ya shilingi 7000.
Hivi kweli sisi watanzania tunashida gani mbna hatuoneni huruma watoto wa masikini hana kazi bdo unamlipisha kwaajili ya kuapply ? Hivi huu mradi ni wa nani sababu haiingilii akilini kuna emails unaweza kutuma (barua pepe) au posta ya kawaida sasa wao wameamua kuweka huo mradi mkijua maelfu ya watanzania wataomba na hapo ndipo mtajikusanyia maokoto,
Hii haiko sawa kabsa na kaeni mkijua mtakuja kulipwa tu duniani au mbinguni kwa hiki mnachokifanya na ndo sababu ya kujitoa kwenye utumishi ili mpate kujikusanyia 7k za maombi ya ajira, me nawasilisha
Hivi kweli sisi watanzania tunashida gani mbna hatuoneni huruma watoto wa masikini hana kazi bdo unamlipisha kwaajili ya kuapply ? Hivi huu mradi ni wa nani sababu haiingilii akilini kuna emails unaweza kutuma (barua pepe) au posta ya kawaida sasa wao wameamua kuweka huo mradi mkijua maelfu ya watanzania wataomba na hapo ndipo mtajikusanyia maokoto,
Hii haiko sawa kabsa na kaeni mkijua mtakuja kulipwa tu duniani au mbinguni kwa hiki mnachokifanya na ndo sababu ya kujitoa kwenye utumishi ili mpate kujikusanyia 7k za maombi ya ajira, me nawasilisha