Glue
Senior Member
- Jan 14, 2011
- 156
- 49
Mtatiro ana papara na jazba, ni mkururpukaji, hafai kwa lolote...anajaribu kutafuta umaarufu kwa nguvu tokea huko UDSM. huko CUF aliko panamtosha.
Umeongea point mkuu. Me nlishawahi kusema hayahaya humu jamvini. Mtu mwenye jaziba na kukurupuka hafai kuwa kiongozi. Kiongozi bora huongozwa na busara na hekima.