Namlilia Julius Mtatiro...

Namlilia Julius Mtatiro...

Nimekuwa nikifikiria juu ya vijana ambao walikuwa ni wanamapinduzi wakubwa pale UDSM miaka ya hii ya 2000s...

Moja wa vijana hao ni Julius Mtatiro ambaye kwasasa anakitumikia chama cha CUF....

Naandika haya nikijua kuwa tumepoteza potential iliyokuwa ni manufaa makubwa kwa Taifa, kaingia chama kisicho na muelekeo, majungu kama taarabu ni kawaida yao.

Napenda kuwaomba wanaJF ambao mna ukaribu na huyu jamaa tumrudishe kundini haraka kabla ajaangamia milele...

Matope kweli wewe unafikiri kila mkristo lazima awe cdm na kila muislam awe CUF

Mtatiro is above religious interest as you do!...

Nyie ndio wale akili matope waliko cdm..unafikri ki-waraka waraka
 
Mungu amempatia kila mtu akili sawa. Tunachotofautiana ni ule uwezo wa kutumia karama hii ya Mungu vizuri, na uwezo wa kuchambua mambo. Mtatiro kama mtanzania yeyote yule anayo haki ya kujiunga na chama chochote kadri ya matakwa yake. Kwani kwake CUF ni chama bora. "Ubora" huu unadhihirika pale kinapounga mkono CCM na sera zake na kuzorotesha upinzani. Mwanaharakati wa Marekani, marehemu Malcolm X alisema " Faint hearts never win decisive battles." akiwa na maana kuwa mioyo laini haiwezi kupigana vita mpaka ushindi. CUF wameishia njiani tuu. Na Baba Mandela alisema hivi " When the water starts boiling it is foolish to turn off the heat."akiwa na maana kuwa maji yanapoanza kuchemka ni upumbavu kuzima moto.

CUF wameamua kuzima moto wakati huu ambapo watanzania wengi wanadai haki, maendeleo, na hali bora ya maisha yao. Wameamua kujiunga na serikali ambayo miaka hamsini baada ya uhuru bado kuna matatizo makubwa ya umeme nchi nzima, matatizo ya maji nchi nzima, elimu, afya, miundo mbinu, ajira, ubadhilifu wa mali ya umma, rushwa, ufisadi, aaaaah orodha ni ndefu.

Naomba wananchi msameheni Julius Mtatiro. Iko siku atagundua makosa yake na kutubu na kurudi tena kwenye harakati za kuikomboa nchi hii kutoka katika mikono ya CCM.

Mungu ibariki Tanzania.
Tuyasahau ya mtatiro na wengine ambao hawajatajwa TUIMARISHE CHAMA CHETU TUSONGE MBELE tusiwafikilie waliobaki nyuma, Watanzania watatuunga mkono na kwa Uweza wa Mungu tutazishinda fitina na siasa chafu zote.
 
Hata mimi nashangaa mtiririko wa Ma alhaji ndani ya CCM
Maalhaji wote wa Bakwata
Alhaji Kikwete
Alhaji Kinana
Alhaji Mwinyi
Alhaji Karume
Alhaji Bilal
Alhaji Shein
Hajat Hawa Ghasia
Hajat Mwantum Mahiza
Hajat Amina Mrisho Said:
Vp ccm ni chama cha msikitini mkuu?

umechemsha mkuu, Alhaji sio kiongozi wa dini katika uislam, ni mtu anayefanya ibada ya Hijja ndio anaitwa Alhaj na hata wakristo huwa wanaenda israel kwa ibada ya HIJJA.
 
asiye na muelekeo ni wewe na si chama, huna muelekeo kwa kuwa hujui matatizo ya watanzania yametokana na nini, aidha wewe ni mbumbumbu, mshabiki au ni mtu ambaye unaangalia maslahi yako katika chama unachokishabikia na si nchi.

Mkuu kwani mie nimesema aje CDM? Plz is better to provide constructive idea rather than producing uharo which I dont think the generation of our times need....And is not bad to remain quite because it is nice too..
 
Kumbe hivi vyama vya siasa sio kwa kuwasaidia watanzania ni vyama vya kidini duu!

Masikini Tanzania yangu imezama kwenye udini sijui sisi tusiokuwa Waislama au Wakiristu, tutasaidiwa na nani? Watanzania wenzangu tuzinduke nchi wanataka kuigawana Magamba na Magwanda

Huna lolote wewe! kwani hatukujui kuwa we ni magamba namba wani? Umeanza kuwakana wenzio mapema hivyo!
 
Nimekuwa nikifikiria juu ya vijana ambao walikuwa ni wanamapinduzi wakubwa pale UDSM miaka ya hii ya 2000s...

Moja wa vijana hao ni Julius Mtatiro ambaye kwasasa anakitumikia chama cha CUF....

Naandika haya nikijua kuwa tumepoteza potential iliyokuwa ni manufaa makubwa kwa Taifa, kaingia chama kisicho na muelekeo, majungu kama taarabu ni kawaida yao.

Napenda kuwaomba wanaJF ambao mna ukaribu na huyu jamaa tumrudishe kundini haraka kabla ajaangamia milele...
Ni kweli, kijana amepoteza uelekeo kwa kujiunga na chama kisicho na future. Hata mimi namshauri; na bado hajachelewa, kujiunga na vyama vyenye mwlekeo wa kimaendeleo. Si Mtatiro tu, hata Nape ambaye anapoteza muda wake katika chama kilichopoteza mwelekeo, mvuto na mshiko kama CCM. Historia itamhukumu kwa kumsaliti baba yake aliyekufa akiuchukia ufisadi. Ama kweli gumugumu huzaa teketeke.
 
Mimi naamini ni suala la muda tu mtatiro julius niliyesoma naye udsm najua iko siku atajoin wapambanaji wa kwel - chadema. Ni suala la muda tu.

mtamuweza? shibuda anawatoa jasho, Zitto mmemshindwa!! Mtatiro mashine nyingine mkuu! anaangalia ukweli na hana muda wa kupoteza na ndiyo mzee za mbowe! acha kujishushia hadhi , kwa hiyo CUF ni wapambanaji wa uongo? mlichopambana Tanzania mpaka sasa ni nini? wenzenu angalau huko zenj wamefika walipoona panafaa. fanya kazi uiondoe ccm ukishindwa fanya kazi ya kugawana madaraka, definitely will not happen not after your 4th generation! msibeze wenzenu mkuu kwa cheo chao wewe ni aibu acha ushabiki wa kitoto
 
Nani kasema Mtatiro kujiunga na waislam kapotea? Mtatiro yupo kwenye chama cha Mujahidin cha wale answaar sunna. Waliopo Ccm ni wale wa Bakwata. Upinzani wa CUF na CCM ni ubakwata na uanswaar sunna tu mambo mengine yote wanafanana

ila upinzani wa ccm na cdm ni bakwata na maaskofu au?? then u r calling urself a greatthinker. Nyie ndo mnafanya watu wengine wenye mapenzi mema na movement za cdm waanze kukichukia chama na kudhani cha kidini. unashabikia udini wakati viongozi wa juu wanakemea unataka tukuite nani? nafikiri mnafiki linakutosha, huna mapenzi mema na cdm
 
Kumbe hivi vyama vya siasa sio kwa kuwasaidia watanzania ni vyama vya kidini duu!

Masikini Tanzania yangu imezama kwenye udini sijui sisi tusiokuwa Waislama au Wakiristu, tutasaidiwa na nani? Watanzania wenzangu tuzinduke nchi wanataka kuigawana Magamba na Magwanda

ur always against cdm followers but today I realise ur true intetions. it is to confuse those cdm followers who are just like flag..never think but to comment nonesense even if they know ur just confuse them. Now all of them are religious bias,doing nothing but to insult other believers(muslims) and some even follows cdm bcoz many of their leaders are christian but not because of their movements. Because of that the cdm faithful ll get the bunch of criticiser each and every day only to confuse u until u guys start to think. They are making funny of u...
 

saita-ke marmoboy .. Sayu
.. Thread yako nimeipenda ila nilikuwa na-kaushauri kadogo.. Sitaki kuongelea uongozi "maziwa" wa vyuo vikuu. Kuwa mtazamo wako ni kila kitu ndani yako, sikupingi, ila kuna jambo ambalo nadhani mwandishi wa thread hii linamtatiza hasa kutokana na uwazi kwamba cuf kuna mkanganyiko ambao hakuna anayeutolea ufafanuzi.. Embu ona.. Katibu mkuu wa cuf ni makamu wa kwanza wa rais zanzibar.. Af then ccm ni moja, ya bara ni ya tanzania.. Ona simple logic, kama ccm wakiwa na kikao na kumwalika rais wa zanzibar akifungue, na rais akawa na dharula je makamu wake wa rais akitake over itakuwaje?? Halafu umoja wao huo haupo kwenye katiba ya ccm wala ya cuf.. Mtatiro angekuwa makini angegangamaa kuondoa utata huo, na cuf kingekuwa chama madhubuti tena kama kilivyokuwa miongo miwili iliyopita.
Sasa mwandishi wa thread anamwona mtatiro kama mchezaji mpira mahiri anayechezea timu ya mtaaani..

hebu toa ujinga wako hapo! Hata ulichokiandika hakina kichwa wala miguu!
 
Mungu amempatia kila mtu akili sawa. Tunachotofautiana ni ule uwezo wa kutumia karama hii ya Mungu vizuri, na uwezo wa kuchambua mambo. Mtatiro kama mtanzania yeyote yule anayo haki ya kujiunga na chama chochote kadri ya matakwa yake. Kwani kwake CUF ni chama bora. "Ubora" huu unadhihirika pale kinapounga mkono CCM na sera zake na kuzorotesha upinzani. Mwanaharakati wa Marekani, marehemu Malcolm X alisema " Faint hearts never win decisive battles." akiwa na maana kuwa mioyo laini haiwezi kupigana vita mpaka ushindi. CUF wameishia njiani tuu. Na Baba Mandela alisema hivi " When the water starts boiling it is foolish to turn off the heat."akiwa na maana kuwa maji yanapoanza kuchemka ni upumbavu kuzima moto.

CUF wameamua kuzima moto wakati huu ambapo watanzania wengi wanadai haki, maendeleo, na hali bora ya maisha yao. Wameamua kujiunga na serikali ambayo miaka hamsini baada ya uhuru bado kuna matatizo makubwa ya umeme nchi nzima, matatizo ya maji nchi nzima, elimu, afya, miundo mbinu, ajira, ubadhilifu wa mali ya umma, rushwa, ufisadi, aaaaah orodha ni ndefu.

Naomba wananchi msameheni Julius Mtatiro. Iko siku atagundua makosa yake na kutubu na kurudi tena kwenye harakati za kuikomboa nchi hii kutoka katika mikono ya CCM.

Mungu ibariki Tanzania.
really i also feel so sorry for this guy
 
acha udini kinachojadiliwa hapa ni siasa wewe kwa kutumia hiyo akili yako finyu umerukia context za uduni.utanaka kujenga image kwamba kila tunapojali siasa za vyama vingi kuna anticipation ya udini?
 
The past is over.. .forget it. The
future holds hope.. .reach for it.
 
ni mapitio tu cuf inapita bado cuf ina nguvu nitofauti na vyama vingine kabisa watu wanaona imekwisha kumbe nguvu inayo na bado ipo. Na si kama inaunga mkono ccm. Kuna watu wanaomba kila siku cuf iangamie. La wana kosea hawa hawajui kilichomo. So mtatiro watu wanatamani ahame chama ahamie Cdm au chama kingine ila siyo CUF,jamani leo mnaona uingereza kiongozi wa lebdem angehamia basi labour au consevertive hatusikii viongozi wao kuhama. Iwe marekani pia.
 
ni mapitio tu cuf inapita bado cuf ina nguvu nitofauti na vyama vingine kabisa watu wanaona imekwisha kumbe nguvu inayo na bado ipo. Na si kama inaunga mkono ccm. Kuna watu wanaomba kila siku cuf iangamie. La wana kosea hawa hawajui kilichomo. So mtatiro watu wanatamani ahame chama ahamie Cdm au chama kingine ila siyo CUF,jamani leo mnaona uingereza kiongozi wa lebdem angehamia basi labour au consevertive hatusikii viongozi wao kuhama. Iwe marekani pia.

Kweli wewe ni mgongo wa paka kwa mwendo huu utakuwa paka mwenyewe soon wacha tuvute subira .
 
Mkuu, na mimi napata tabu! Hivi mpaka uwe kiongozi wa kanisa ndio unapata nafasi ndani ya CDM!

Mifano hawa wachungaji, Mchungaji Peter Msingwa, Mchungaji Israel Natse, Padre Slaa, sasa hawa si wanawakilisha tu, sifa yao kubwa kuwa viongozi wa Kanisa. Mkuu hapa ni ngumu sana kutofautisha Kanisa na CDM

Hivi wewe ni rizwan mtoto wa mzee wa pale magogoni?
 
Back
Top Bottom