Nimeshangaa sana pale mdau alipopiga sim kuulizia ndoa kati ya ssm na cuf zanzibar, Mtatiro alijibu kwa confidence kuwa wao hawajaungana ila wanashirikiana, nikajawa na maswali kivpi?lakini akaendelea kudadavua kama kawaida yake na kusema wao wako ok kwani ndoa nzuri ni ile ya uaminifu, yani hutoi siri,hutoki nje, kimsingi mnaelewana kwa mabaya na mazuri, nikaguna na kuongeza sauti ya tv, akasema watu tanzania wanachojali ni maendeleo hata kama kiongozi ni dikteta haina shida cha msingi elete maendeleo nikamfikiria gadafii na ukomavu wa kisiasa wa matatiro, nikakumbuka shule zinazotolewa juu ya democrasia na chama chakesa sikujua alimaanisha nini!