String Theorist
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 203
- 179
Hapa naelewa kuwa ....MTATIRO AMEKUBALI KUWA CUF NI CCM B.... Sasa wanachofanya sasa ni kutaka kuonyesha kuwa "kitendo cha wao kufunga ndoa sii tatizO kwani hata chadema nao wanajaribu kufanya hivyo"