Namlilia Julius Mtatiro...

Namlilia Julius Mtatiro...

cuf hakuna ungangali tena mpaka prof hasikiki tena. Jamani kuolewa ni kuzuri sana huangaiki tena unatulia ndani tu
 
Lakina ana haki ya kuwa na wivu maana mke ni lazima awe na wivu akiona mme anaongea tu na watu wengine bila kujua wanaongea nini.

Hivi cuf hapa arusha wapo
 
Sioni mantiki ya habari hii maana haina lolote ambalo linaweza kushawishi ionekane Chadema inashiriki na ni kibaraka wa Ccm.
Cuf haina shaka ni Ccm B na hilo halina mjadala tumelishuhudia hata wakati wa mchakato wa muswada wa katiba waliamua kubaki na waume zao.
 
Kwa hiyo yeye Mtatiro alipoanzisha maandamano pale Buguruni kwenda Ikulu kupeleka rasimu ya katiba ya CUF, alikuwa anaenda ili CUF iwe CCM gani zaidi ya hiyo 'B' ?
 
Kwa hiyo yeye Mtatiro alipoanzisha maandamano pale Buguruni kwenda Ikulu kupeleka rasimu ya katiba ya CUF, alikuwa anaenda ili CUF iwe CCM gani zaidi ya hiyo 'B' ?

ooh! Kumbe chadema nae anataka ndoa, Huyu bwana atakuwa na kazi, wake wawili!!
 
Mtatiro anzia uolewe unaongea mipasho kama hadija kopa, we tulia ndani tu utunze ndoa yako mama, CUF mmebaki na kazi ya kupika na kupakua misosi kama mama wa hom, mlifurahi kuolewa bila kujua nyie ni watoto wa kiume mkafikiri itakuwa rahisi sio, sasa inakula kwenu.
 
kama ni ndoa híi nayo kiboko chadema wamepigwa ukuni mpaka Wamekolea sasa wa wanamfuata mpaka ikulu kweli changudoa hana heshima!
 
Pengine anaona wivu chadema inakuwa nyumba ndogo ya ccm.
 
inashangaza hawa walisusa hotuba ya rais na kutomtambua rais kwa nguvu ya soda yani kwa maneno tu. Leo wamenogewa mpaka wana mbembeleza mume walo mkataa kabisa eti wao wanaandika barua wenyewe ya uchumba nakumbembeleza awakubalie kuwaoa. Nakama si hivyo mbowe na slaa wanataka walau wakanyage ikulu kabla hawajafa maana walichokitarajia kuingia ikulu hata kwa lazima na kwa njama kushindwa wametafuta vijisababu ilimradi wa kanyage ikulu na kula bata ama ugali wa ikulu.
 
haya ni mambo ya muda tu, kuna wakati ukifika hautaisikia tena sisien wala kafu, pengine ukasikia zaidi chama kingine ambacho wa kwa sasa hakipo. It is just a matter of time, let us wait and see!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
inashangaza hawa walisusa hotuba ya rais na kutomtambua rais kwa nguvu ya soda yani kwa maneno tu. Leo wamenogewa mpaka wana mbembeleza mume walo mkataa kabisa eti wao wanaandika barua wenyewe ya uchumba nakumbembeleza awakubalie kuwaoa. Nakama si hivyo mbowe na slaa wanataka walau wakanyage ikulu kabla hawajafa maana walichokitarajia kuingia ikulu hata kwa lazima na kwa njama kushindwa wametafuta vijisababu ilimradi wa kanyage ikulu na kula bata ama ugali wa ikulu.
eeeh kweli uhu ni mgongo wa paka, maelezo yako hayana mashiko zaidi ni ushabiki tu, kimekuuma chadema kwenda ikulu kumuona jk, ukumbuki walisema lengo ni kutafuta muafaka juu ya suala la mgogoro uliopo wa katiba? Kweli mgongo wa paka uko karibu na masabuli ya paka, ata hoja zako ni from masabuli ya paka
 
pengine anaona wivu chadema inakuwa nyumba ndogo ya ccm.
wewe mtoto, you are too young, ebu acha mdomo, utatuudhi, moderator ebu ka ban akakatoto, tupunguze contribution za wanaotumia masab.... Kwani wanatuchefua
 
toka cuf WASHINDWE VIBAYA huko igunga, hawa jamaa hawajiamini tena katika siasa za bara. Labda wakajaribu tena huko visiwani.
 
eeeh kweli uhu ni mgongo wa paka, maelezo yako hayana mashiko zaidi ni ushabiki tu, kimekuuma chadema kwenda ikulu kumuona jk, ukumbuki walisema lengo ni kutafuta muafaka juu ya suala la mgogoro uliopo wa katiba? Kweli mgongo wa paka uko karibu na masabuli ya paka, ata hoja zako ni from masabuli ya paka

Asante kwa kunijibia huyo mgongo wa NYAU.
 
eeeh kweli uhu ni mgongo wa paka, maelezo yako hayana mashiko zaidi ni ushabiki tu, kimekuuma chadema kwenda ikulu kumuona jk, ukumbuki walisema lengo ni kutafuta muafaka juu ya suala la mgogoro uliopo wa katiba? Kweli mgongo wa paka uko karibu na masabuli ya paka, ata hoja zako ni from masabuli ya paka

Asante kwa kunisaidia kunijibia huyu mgongowaNYAU.
 
Back
Top Bottom