Naibu Spika Tulia Ackson athibitisha Mbunge mmoja kupata maambukizi ya COVID-19

salary
Dawa lazima iwe chungu......Mi naona Uganda na Rwanda watafanikiwa sana kudhubiti huu ugonjwa....utasambaa vipi wkt kila mmoja kajifungia kwake?
 
Hivi anaruhusiwa kutoa taarifa za corona! Mbona rais hakumtaja kwenye ile list?
Spika ni boss wa mhimili wa bunge. Kikatiba ni muhimili unaojutegemea na haupokei maelekezo kutoka serikalini. Vivyo hivyo na JMkuu na mhimili wa mahakama.

So hahitaji ruhusa anapokuwa kwenye nafasi yake. Ila kwa maslahi mapana ya taifa, mihimili hii hufanya kazi pamoja. So lazima atakuwa kaitaarifu serikali juu.

My unverified opinions
 
Paskal Mayala ndiye yule Pasco wa zamani? Kwa hiyo corona sio utani tusizembee kufuata masharti. Speed ya kuambukiza si mchezo.

Mtu mmoja kwenye ndege au basi au meli au treni anakaribiana na watu wangapi? Stand, hotelini ,sokoni suppermarket anakutana na watu wangapi?

Tusidharau huu ugonjwa ni baraa, ni epidemic wazungu wenyewe wamegwaya.
Tumuombe Mungu Baba atuvushe salama kwenye hili janga!!
 
Nakumbuka Naibu Spika Dr Tulia alipata kututangazia habari ya mbunge mmoja kupata maambukizi ya Corona na kwamba alitokea Dsm.

Siku chache zilizopita tumehadithiwa habari za mbunge huyo kuendelea vizuri na zamu hii mtoa taarifa alikuwa Spika Ndugai.

Nauliza tu kama kuna hatua za ziada zilichukuliwa kuhakikisha maambukizi hayasambai ikiwemo kupulizia dawa ukumbi wote wa bunge na canteen, je bunge lilichukua hatua zozote?

Maendeleo hayana vyama!
 
Nakumbuka Naibu Spika Dr Tulia alipata kututangazia habari ya mbunge mmoja kupata maambukizi ya Corona na kwamba alitokea Dsm.

Siku chache zilizopita tumehadithiwa habari za mbunge huyo kuendelea vizuri na zamu hii mtoa taarifa alikuwa Spika Ndugai.

Nauliza tu kama kuna hatua za ziada zilichukuliwa kuhakikisha maambukizi hayasambai ikiwemo kupulizia dawa ukumbi wote wa bunge na canteen, je bunge lilichukua hatua zozote?

Maendeleo hayana vyama!
Bwashee
 
Tuiache corona ichague nani wa kwenda na nani wa kubaki. Tusiingilie majukumu yake.
 
Nakumbuka Naibu Spika Dr Tulia alipata kututangazia habari ya mbunge mmoja kupata maambukizi ya Corona na kwamba alitokea Dsm.

Siku chache zilizopita tumehadithiwa habari za mbunge huyo kuendelea vizuri na zamu hii mtoa taarifa alikuwa Spika Ndugai.

Nauliza tu kama kuna hatua za ziada zilichukuliwa kuhakikisha maambukizi hayasambai ikiwemo kupulizia dawa ukumbi wote wa bunge na canteen, je bunge lilichukua hatua zozote?

Maendeleo hayana vyama!

Waliendelea kuficha tu mkuu!! Kukosa "RAIS WA TWITA" kutuambia tusingemjua.
 
Nakumbuka Naibu Spika Dr Tulia alipata kututangazia habari ya mbunge mmoja kupata maambukizi ya Corona na kwamba alitokea Dsm.

Siku chache zilizopita tumehadithiwa habari za mbunge huyo kuendelea vizuri na zamu hii mtoa taarifa alikuwa Spika Ndugai.

Nauliza tu kama kuna hatua za ziada zilichukuliwa kuhakikisha maambukizi hayasambai ikiwemo kupulizia dawa ukumbi wote wa bunge na canteen, je bunge lilichukua hatua zozote?

Maendeleo hayana vyama!
Wabunge wa upinzani walichukua hatua ya kwenda kupima na kukaa karantini.

Tusubiri majibu ya wabunge wa CCM kutoka kwa Wakudadavuwa
 
n
Haina haja kuogopa. Corona ni kagonjwa kadogo sana. Haina haja kupaniki, tuendelee kuchapa kazi tu. Uchumi wetu ni mzuri na by the way kuna nchi 8 zinategemea nchi yetu kwa bidhaa zao.
nchi 8, sawa ila zeneywe zimeanza kuamua kufunga mipaka kama zambia
 
Back
Top Bottom