theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,750
- 15,636
Vipande naskia ni aina ya majini mkuuKutoa vipande gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipande naskia ni aina ya majini mkuuKutoa vipande gani?
HahahahaAstagharfulilahi...
Nilisikia kwa mtu na ninataka kuthibitisha kama yanaweza tolewaUmeskia kwa nani mkuu...?
Nilisikia kwa mtu na ninataka kuthibitisha kama yanaweza tolewa
*****************Yeye ndio anakuja kufanya mapenzi na mimi coz mara nyingi anapokuja nakuwa sikubaliani nae katika kitendo hiko na hata mie mwenyewe sikipendi ila anajua jinsi gani anavyonifanya mpaka najikuta nikiwa nafanya nae mapenzi mwisho ndio najikuta tayari ameshamaliza haja zake.
Afadhali ya siku hizi amepunguza mkuu zamani kipindi cha nyuma mtu unaweza ukajichafua hata mara 4 kwa usiku mmoja ndugu yangu. Acha niishie hapo mkuu.
I can relateMtu mzito tapeli.
Mkuu kioo umeridhika kwa kufanya nao mapenzi?
Unafanya mapnz na wakike au wakiumee mkuuKwa nini unauliza hivyo mkuu.
Mkuu ni suala ambalo binafsi linanikera mno.
Mkuu unakuwa nao physical au imaginationDah mkuu utaipata wapi kauli iyo ya kumuuliza maswali hayo, hawa viumbe wanapokuja lazima wanakuzuga japo kidogo ili uwe marizia uwasilize wao tu labda wale ambao muna mipango na mikakati ya kazi.
Niliwahi kuongea nao walipokua wananitesa isee usiombe yakukute. Walikua wananifanya kama toiz. Ila majini hawapendi ukiwa unazungumza nao ukiwa unacheka hawatak kabisa wanapenda sirias. Mm hata kwenye sirias sijui ninacheka tu nilipata mateso sana.
Yani kuna dada ninae kama alikwenda kuwakodi sijui au ni marafiki zake waje kuniadhibu na chanzo cha yote hayo uyo dada wa kijini alinipeleka kwenye nyumba moja kwenda kukaa ambayo ilikua haikai watu ni ya mdogo wangu aliniondosha nyumbani akanishawishi nitoke.Mtiti ulianza nilipoingia kwenye iyo nyumba. Dah haijawah kutokea aliniwekea mashart ya ajabu akaniletea jini mtaalamu wa mambo ya kichwa akaanza kunifanya anavotaka sitak niseme alinifanya nn kwenye kichwa lakn yeye dada akawa yuko pembeni anachezea simu.
Kwahy Mkuu ukijikuta Mahal unafanya mapnz,je inkuwa reality au imagination tu[/QUOTE]Kwa nini unauliza hivyo mkuu.
Anyway, hawa viumbe uridhike usiridhike akiamua kufanya mapenzi na wewe atafanya tu mkuu.
Imagine wee unakuwa usingizini unadhani yee atashindwaje kufanya mapenzi na wewe kiongozi...?
Kwenye suala la kuwa macho mnasex mkiwa mnajua kuwa mnasex hapo sawa ila wana njia nyingi wakiamua kusex na wewe hakuna kinachowazuia wao kufanya hivyo mkuu.
Thanks.
Kwahy Mkuu ukijikuta Mahal unafanya mapnz,je inkuwa reality au imagination tu
Mkuu kioo umeridhika kwa kufanya nao mapenzi?