Mgeni wa Mungu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 1,233
- 1,287
mkuu alikuombaje ikiwa ana uwezo wa kuichukua bila ridhaa yako
Hana uwezo huo huo ni wizi hawa nao wanajua hilo
mkuu alikuombaje ikiwa ana uwezo wa kuichukua bila ridhaa yako
Lamu-mombasa ukipita kwenye zile njia nyembamba utasikia ambacha ukucha punda uyao (Maana yake shika ukuta punda anakuja)umemaanisha nin hapa mkuu
oooh asante kwa ufafanuziLamu-mombasa ukipita kwenye zile njia nyembamba utasikia ambacha ukucha punda uyao (Maana yake shika ukuta punda anakuja)
Ndio mkuuWee una Roohan kwani mkuu...?
wewe ni mchawi ?Assalaam Alaykum.
Natumai mnaendelea vyema wakuu. Well, kama mada inavyojieleza kuwa nahitaji msaada kutoka kwenu wakuu kwa yoyote mwenye Roohan.
Kama yupo humu jamvini itakuwa vyema au kama yupo unayemfaham anaye si mbaya kama utaniunganisha nae ntashkuru sana.
Napatikana Dar. Natanguliza shukran za dhati kwenu wakuu. Thanks.
Nawasilisha.
Sasa yale mapepo walokole huwa wanayatolea wapi? au walokole sio wakristo?Hili usiwaombe Wakristo, hawajui hayo...na hawajalelewa katika kuhusiana wala kushirikiana na hayo.
Hawakupendi hao..wamekufanya chaka lao...na ujuwe hawana mchezo mwema mwisho watakujutisha tu hao!Kuna mmoja wa kike alikuja mwenyewe tu. Wa kiume nilishangaa tumekutana tu barabarani tukawa marafiki mpaka kula na kulala tulikuwa tunalala wote.
Wengine waliobaki walikuja wenyewe tu coz walitokea kunipenda mkuu.
ZanzibarOkay fine. Unapatikana maeneo gani kiongozi...?
Astaghafirulah mwenyezimungu akusamehe madhambi yakoAssalaam Alaykum.
Natumai mnaendelea vyema wakuu. Well, kama mada inavyojieleza kuwa nahitaji msaada kutoka kwenu wakuu kwa yoyote mwenye Roohan.
Kama yupo humu jamvini itakuwa vyema au kama yupo unayemfaham anaye si mbaya kama utaniunganisha nae ntashkuru sana.
Napatikana Dar. Natanguliza shukran za dhati kwenu wakuu. Thanks.
Nawasilisha.
Ulikuwa na shida gani mkuuDah, sasa mie nipo Dar mkuu.