Anamkubalia kila mtu we huogopi 😁Endelea kuringa ringa wenzako wanambeba Marry Dikompoza 😹😹😹
Una bahati hauwakosoi wauwaji.Kama vipi tukutane moyo tule lunch,, acha leo nijilipue nionane na mdogo wangu
😹😹😹Anamkubalia kila mtu we huogopi 😁
Unaweza kucheza mziki nije kukupa kampani ukalale woiiiiiiNiko bored,
Nani yupo tayari tutoke,awe mwanamke mwenzangu au mwanaume ni sawa,hata tukiwa sita au kikundi ni sawa pesa ya bili chini ya laki mbili ninayo.
Nahitaji sura mpya,Mawazo mapya na nijifunze vitu vipya ,nitatokea kinyerezi,kuelekea Mawasiliano Ubungo,hapo tutapanga tukutane wapi.situmii pombe lakini
Karibuni
Hii ni nzuri.Kama vipi tukutane moyo tule lunch,, acha leo nijilipue nionane na mdogo wangu
Tutapanga hiiHii ni nzuri.
HahahahahaUna bahati hauwakosoi wauwaji.
Wewe nenda tu.
Msinisahau na mie jamani.Tutapanga hii
Kwan amesema anagawa mbunye?dah sisi wa idindilimunyo tunazikosa hizi mbususu aisee
fukua makaburi yake utaelewa lengo la nyuzi zakeKwan amesema anagawa mbunye?
Dah kama n hvy bc sisi wa mikoani tunatwengwa sana 😭
Safi, tumuache atumie Mali yake atakavyo 🔥fukua makaburi yake utaelewa lengo la nyuzi zake
usihuzunike mkuu, ngoja nifuatilie nitakupa updates kama mikoani anatuma
hakikaa mali ni yake, tufute hizi replies akiziona anatabia ya kuzifungulia uzi mwingineSafi, tumuache atumie Mali yake atakavyo 🔥
Atajua mwnyw, apeleke hadi kwenye vyombo vya habarihakikaa mali ni yake, tufute hizi replies akiziona anatabia ya kuzifungulia uzi mwingine