Marry Diana
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 1,418
- 4,113
- Thread starter
- #41
Ahsante dearSogea THE VOICE hapa tufurahie weekend mrembo
Ahsante dearSogea THE VOICE hapa tufurahie weekend mrembo
NjombeHuko unakoishi sipajui ni mkoa gani au ni nje ya nchi
Ni mbaliNjombe
Weee hutaki toa kampani.??
Nipo na heka heka zangu tu...Weee hutaki toa kampani.??
Sante sana kwa mwongozo!Nipo na heka heka zangu tu...
Kama hutumii pombe si ubaki nyumbani kwako tu, upike matembele ule na wanao, usije ukawajazia inzi wenzako.Niko bored,
Nani yupo tayari tutoke,awe mwanamke mwenzangu au mwanaume ni sawa,hata tukiwa sita au kikundi ni sawa pesa ya bili chini ya laki mbili ninayo.
Nahitaji sura mpya,Mawazo mapya na nijifunze vitu vipya ,nitatokea kinyerezi,kuelekea Mawasiliano Ubungo,hapo tutapanga tukutane wapi.situmii pombe lakini
Karibuni
Unapenda kuniambia wanawake mtaniua... hahahaSante sana kwa mwongozo!
Don't forget brain with you.
Ndiwoooo lo nakua nakukumbusha to be keafooUnapenda kuniambia wanawake mtaniua... hahaha
Imagine upo zako mahali, alafu pembeni kuna wanawake wanapima nguvu kama wana mieleka...Ndiwoooo lo nakua nakukumbusha to be keafoo
Hutumii pombe sasa tunabidilishanaje mawazo?Niko bored,
Nani yupo tayari tutoke,awe mwanamke mwenzangu au mwanaume ni sawa,hata tukiwa sita au kikundi ni sawa pesa ya bili chini ya laki mbili ninayo.
Nahitaji sura mpya,Mawazo mapya na nijifunze vitu vipya ,nitatokea kinyerezi,kuelekea Mawasiliano Ubungo,hapo tutapanga tukutane wapi.situmii pombe lakini
Karibuni
Unafurahia mwenyewe 😊😊!Imagine upo zako mahali, alafu pembeni kuna wanawake wanapima nguvu kama wana mieleka...
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana, wanyoshane kidogo kwanza...Unafurahia mwenyewe 😊😊!
Weee si uwagombezee jamani ! Unaogopa kuumiza mmoja 😏😏😏
Hebu Weka picha kwa faida ya members nisafishe macho kwanzaTatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana, wanyoshane kidogo kwanza...
Bangi unatumia?Niko bored,
Nani yupo tayari tutoke,awe mwanamke mwenzangu au mwanaume ni sawa,hata tukiwa sita au kikundi ni sawa pesa ya bili chini ya laki mbili ninayo.
Nahitaji sura mpya,Mawazo mapya na nijifunze vitu vipya ,nitatokea kinyerezi,kuelekea Mawasiliano Ubungo,hapo tutapanga tukutane wapi.situmii pombe lakini
Karibuni
Picha noma, je kama ukawatambua...Hebu Weka picha kwa faida ya members kwanza