Nahisi nimetapeliwa sijui nifanye nini?

Nahisi nimetapeliwa sijui nifanye nini?

bongo ukisikia kitu bei chee,epuka sana kukisogelea.

maana haya vitu used tu kama ni kizima huwa bei bado imesimamisha mlingoti.

picha linaanza unaambiwa mtu kafilisiwa,kuna pasi za ya umeme,mzani digital,cherehani ya umeme,laptop 6,simu mixer kama 38 hivi,tv 6 zote kampuni tofauti,vyombo vya ndani na printer,saaa swali la kujiuliza huyo mtu alikuwa anafanya bisahara ya aina gani??[emoji23][emoji23]

pole mkuu.
swali zuri sana,utakuta duka la kufilisiwa lilikuwa la eletronic utashangaa wana uza adi viatu
 
Ongeza hela nikupe Iphone halisi.

Ingia inbox nimekutumia number ya kutuma pesa
Apigwe tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Apigwe tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Watu wanatengeneza mazingira juu kwa juu ukishangaa unaliwa kisela
 
Unaweza kukuta unaishi ndani na mwehu, unajifanya kuvumilia ndoa kumbe unavumilia mwehu, inabidi kabla ya kuoana kwanza watu wapimwe na akili
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
 
Mkuu ulidhani umepata kumbe umepatikana! Iphone 11 pro ununue kwa laki 5? Polee sana siku nyingine uwe makini hii minada siyo kabisa wote walio around hapo wanakua wanafahamiana hivo wanakua wanakuchora tu.
 
Yes,Cha msingi usiwe mtu wa tamaa, Kuna jamaa yangu mtoto wa mjini aswaaa, anajenga nyumba na kuuza ndio issue zake uko mbweni ,now yupo Dom, basi ye pamoja na ujanja wake alipigwa mil.20 cash ,kiwanja Cha magumashi alipigwa.

Ivi naandika haya kashavuka maji yuko pemba kaenda kuua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Inawezekana mkuu.Watu tunatofautiana uelewa.Mwenyewe nimeshindwa kuelewa inakuwaje mtu ulimpa maelekezo lakini anatapeliwa kwa njia hiyo hiyo
Wanawake huwa rahisi sana kutapeliwa!
Mie kuna demu wangu ni msomi ana degree na pia ana kazi nzuri tu halafu ni mtoto wa mjini na nilikuwaga nilishampa full story jinsi wanavyotapeliwa lakini cha ajabu siku moja anatoka bank kuchukua hela akalipe mafundi site kwake wajanja wakamuwahi wakamuuzia kipande cha mkaa "dhahabu" akaja kijiweni kwangu fasta eti ana habari njema alipoanza tu kusimulia kwamba amepata bahati ya kuwa tajiri ghafla nikamkatisha nikamwomba nione hiyo dhahabu alipofungua kile kimfuko anakuta kipande cha mkaa na alikuwa amekinunua milion moja laki nane.!
Bahati nzuri mazingira ya hapa Dom vibaka wengi nawajua maana nilishawahi kuwa mwizi zamani kwa hiyo nikaanza msako fasta mpaka nakuja kukamata waliomuuzia nikakuta pesa walishagawana wametumia wamebaki na laki nne na sabini tu wakanipa.
Lakini haikupita muda demu huyohuyo akatapeliwa pesa kupitia fb account fake ya mtu aliyejiita Jokate Mwegelo (Mkuu wa wilaya Kisarawe enzi hizo)
Yaani story ni ndefu ila niliamini wanawake akili zao za ajabu sana
 
Brother aliwahi nunua tv ya samusan Inchi 32,kwenda kuwasha inasoma hitachi,halafu inamikwazuro,inapiga kelele,kama anasaga mawe! Alibaki anasema tu,tayari nishapigwa
Mkuu hiyo kampuni ya "Samusan" ni kampuni mpya?
Kiwanda chao kiko hapa Tanzania au Chato?
 
Yes,Cha msingi usiwe mtu wa tamaa, Kuna jamaa yangu mtoto wa mjini aswaaa, anajenga nyumba na kuuza ndio issue zake uko mbweni ,now yupo Dom, basi ye pamoja na ujanja wake alipigwa mil.20 cash ,kiwanja Cha magumashi alipigwa.

Ivi naandika haya kashavuka maji yuko pemba kaenda kuua
Anaenda kutapeliwa tena Pemba[emoji2][emoji2][emoji2]
 
dahh, hv huwa wanafanyaje au wanawaroga wateja ??[emoji1][emoji1][emoji1]
Hapana mkuu sio kuroga watu, hawa wanacheza na hisia za muhusika,

tamaa yako ikwa kubwa juu ya kitu fulani, unashindwa kufikiri vizuri unakuwa unaendeshwa tu na hisia!!!

Ndio kama hii tamaa yakutaka iPhone 11 kwa 500.. , imemfanya ashondwe kufikiri badala yake kuwaza tu jinsi gani ata enjoy na iOS yake
 
Piga hesabu kwanza kapigwa 760k , ongeza na matibabu kiaina ambayo amelazwa itafika milioni nzima kabisa hapana tushauri jamaa akiruhusiwa apitilize kwao, jamaa akimng’ang’ania huyo kuna siku atajikuta mwanamke ashauza hadi masufuria kabisa na mashuka,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Back
Top Bottom