KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,455
- 5,460
Walewale. Tahadhari kabla ya hatari!Ongeza hela nikupe Iphone halisi.
Ingia inbox nimekutumia number ya kutuma pesa
Walewale. Tahadhari kabla ya hatari!Ongeza hela nikupe Iphone halisi.
Ingia inbox nimekutumia number ya kutuma pesa
Sina hela na sina tamaa maana hata kumiliki simu ya smartfone ni ndoto kwangu! Ndo nilimaanisha hivyo! Mimi hata buku tu nadead mazima! 🖕Huna tamaa au huna hiyo hela ya kupigwa mkuu?
Wewe ukipigwa laki 5 kama mtoa mada si unalazwa ICU Muhimbili wewe mwezi mzima?
Ila wewe mtoto wa mjini hawawezi kukuzingua bestNdo maana sitamani kbs kuishi Dar ..kila siku wanabuni mbinu mpya🤧!pole
Duh...watu kidg wako nyuma ya kalenda....mpe pole..Matapeli hawaishi na wajinga pia hawaishi.
Jana wife kapigwa 760,000 kwenye laini za miamala na wale jamaa wanaoipigaga simu.
Yaani licha ya kumpa elimu yote huko nyuma kuwa asije akajaribu kuelekezwa kitu na akafanya kwenye simu za miamala bado alinasa tu.
Hv kalazwa yuko hospitali yaan hasara mara 2.
Damn Dunia ni chungu hii wakat mwingine
Best utapeli hauangalii hayo..haha wale wana akili mno mno! Sitaki kabisa yaani kutaman taman vitu hivyo!Ila wewe mtoto wa mjini hawezi kukuzingua best
Duuuh!!!! Hii ni hatari kubwa na ½Hatari mimi jamaa angu alikuta sony tv nch 55 akauziwa laki 5 mpaka leo ile tv haiwashi maana akiwasha tu lazima umeme wa 10000 uishe kwa siku na akati umeme wa 10000 anatumia siku sita
Matapeli hawaishi na wajinga pia hawaishi.
Jana wife kapigwa 760,000 kwenye laini za miamala na wale jamaa wanaoipigaga simu.
Yaani licha ya kumpa elimu yote huko nyuma kuwa asije akajaribu kuelekezwa kitu na akafanya kwenye simu za miamala bado alinasa tu.
Hv kalazwa yuko hospitali yaan hasara mara 2.
Damn Dunia ni chungu hii wakat mwingine
Ooh jaman!!! poleni aiseeMatapeli hawaishi na wajinga pia hawaishi.
Jana wife kapigwa 760,000 kwenye laini za miamala na wale jamaa wanaoipigaga simu.
Yaani licha ya kumpa elimu yote huko nyuma kuwa asije akajaribu kuelekezwa kitu na akafanya kwenye simu za miamala bado alinasa tu.
Hv kalazwa yuko hospitali yaan hasara mara 2.
Damn Dunia ni chungu hii wakat mwingine
AsanteOoh jaman!!! poleni aisee
Yes,Cha msingi usiwe mtu wa tamaa, Kuna jamaa yangu mtoto wa mjini aswaaa, anajenga nyumba na kuuza ndio issue zake uko mbweni ,now yupo Dom, basi ye pamoja na ujanja wake alipigwa mil.20 cash ,kiwanja Cha magumashi alipigwa.Best utapeli hauangalii hayo..haha wale wana akili mno mno! Sitaki kabisa yaani kutaman taman vitu hivyo!
😀😀 best umetumia kinywaji ganiYaani kwa haraka haraka ulioa kilaza kwa mtazamo wa magufuli
Mtaa gani mkuu!!! Au mtaa wa Kongo.?? Pole sanaNiliuziwa sabauni kariakoo kwa Tsh 46 sitashau aisee ilikuwa 2010
Inawezekana mkuu.Watu tunatofautiana uelewa.Mwenyewe nimeshindwa kuelewa inakuwaje mtu ulimpa maelekezo lakini anatapeliwa kwa njia hiyo hiyoYaani kwa haraka haraka ulioa kilaza kwa mtazamo wa magufuli
Hahahaha!!! nimecheka balaaaa!Hakuna mtu nayetapeliwa anakubali mapema kuwa ametapeliwa. Jamaa aliwekewa vipande vya mbao badala ya simu na alipofungua akaona ni mbao akabaki kuigeuza geuza karibu robo saa kama haamini macho yake huku anasema du wameniwekea dawa nini?
🤣🤣🤣🤣 !nimecheka kama mazuri..dah..hivi huwa inawork eh? 2019 niliibiwa kalasha(crusher almost lote..wakaondoka ma golori zote na lidude fulani nimesahau jina lake...hahaa wapambe sasa..oh kamloge afe🤣🤣!nikawaambia sina imani hizo...hv kuna watu wanarogwa kufa na wanakufa??interestingYes,Cha msingi usiwe mtu wa tamaa, Kuna jamaa yangu mtoto wa mjini aswaaa, anajenga nyumba na kuuza ndio issue zake uko mbweni ,now yupo Dom, basi ye pamoja na ujanja wake alipigwa mil.20 cash ,kiwanja Cha magumashi alipigwa.
Ivi naandika haya kashavuka maji yuko pemba kaenda kuua
Inatokea wanaingia kwa angle nyingine kbaInawezekana mkuu.Watu tunatofautiana uelewa.Mwenyewe nimeshindwa kuelewa inakuwaje mtu ulimpa maelekezo lakini anatapeliwa kwa njia hiyo hiyo
Ongeza hela nikupe Iphone halisi.
Ingia inbox nimekutumia number ya kutuma pesa
Rafiki angu alivuta smart tv hatari sana....ina madude yote yafaayo...ila inahitaji sana moyoKwenye minada ya namna hiyo, ikiwa ni lazima ununue…. basi unaweza kununua beseni tu au sufuria kwa uhakika kabisa.
Si vinginevyo.[emoji28][emoji28][emoji28]