co fm
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 1,569
- 2,584
Habar za humu wanajamvi?
Ilikuwa siku ya Jumamosi natoka kwenye harakati za vikao na clients wangu basi nikapita pale Mwenge mpakani kulikuwa na mnada wa vitu wakidai muuza duka alichukua mkopo kashindwa rejesha so vitu vya dukani vikawa vinapigwa mnada.
Basi pale nikaona simu aina ya IPhone 11 Pro max ambayo bei zake huwa ni 1.7m dukani, basi nikaikagua ile simu nikaona kama ipo poa basi nikatamka offer yangu 500,000tsh nikachukua baadae nafika home nakuta sio IPhone kabisa bali wameweka os inayoendana na iPhone aisee nilichoka.
Sasa je ninaweza kwenda kwenye mamlaka gani inisaidie nipate hela yangu maana hapo nimetapeliwa.
Nina risiti ya efd na ya kawaida.
Ilikuwa siku ya Jumamosi natoka kwenye harakati za vikao na clients wangu basi nikapita pale Mwenge mpakani kulikuwa na mnada wa vitu wakidai muuza duka alichukua mkopo kashindwa rejesha so vitu vya dukani vikawa vinapigwa mnada.
Basi pale nikaona simu aina ya IPhone 11 Pro max ambayo bei zake huwa ni 1.7m dukani, basi nikaikagua ile simu nikaona kama ipo poa basi nikatamka offer yangu 500,000tsh nikachukua baadae nafika home nakuta sio IPhone kabisa bali wameweka os inayoendana na iPhone aisee nilichoka.
Sasa je ninaweza kwenda kwenye mamlaka gani inisaidie nipate hela yangu maana hapo nimetapeliwa.
Nina risiti ya efd na ya kawaida.