Nahisi nimetapeliwa sijui nifanye nini?

Nahisi nimetapeliwa sijui nifanye nini?

🤣🤣🤣🤣 !nimecheka kama mazuri..dah..hivi huwa inawork eh? 2019 niliibiwa kalasha(crusher almost lote..wakaondoka ma golori zote na lidude fulani nimesahau jina lake...hahaa wapambe sasa..oh kamloge afe🤣🤣!nikawaambia sina imani hizo...hv kuna watu wanarogwa kufa na wanakufa??interesting
shaft hiyo..
 
Dah mwaka 2008 nilikaribishwa mjini.. Kipindi hicho ndo naanza chuo, nikapita pale ubungo nikakuta wananadi simu na shati kwa elf 8 [emoji3][emoji3]
Visimu hivi vya batani, masharti ni utatestia kwenu.. Nikajisemea sio mbaya hata kama simu mbovu basi nitapata shati, shatg lenyewe liko sealed.

Dah nafika hostel, kutest simu hamna kitu.. Shati nalo sio shati linaishia kifuani.. Ikabidi nibaki nalo moyoni tu ila tamaa ziliniponza, sijawah msimulia mtu ule ujinga wangu ndo kwa mara ya kwanza naandika hapa!
Kwa hiyo uliuziwa kitop sio?
 
Mkuu hata binadamu wajanja sana sometimes wanaingizwa mjini na wajanja wenzao waliowazidi.

Kweli lakini maana nakumbuka watu waliambiwa watadownload hela kwenye compyuta au hata kwenye simu tena wakiwa wamekaa wanakunywa kahawa hao wakamwagika kukawa humu hakukaliki kila mtu forex forex na wewe, yule dogo akaonekana ndio mwanaume pekee JF na kwa akili za wanawake najua alipiga hadi mizigo, toka pale hadi leo sijaona tajiri alietokana na forex humu, vilirudi vilio tu, HAKUNA PESA YA BURE AU PESA SIO RAHISI KIIVO LAZIMA UTUMIE NGUVU, AKILI NA MAARIFA
 
Back
Top Bottom