Umbwa kala umbwa 🤣🤣🤣🤣Habar za humu wanajamvi? Ilikuwa siku ya jumamosi natoka kwenye harakati za vikao na clients wangu basi nikapita pale mwenge mpakani kulikuwa na mnada wavitu wakidai muuza duka alichukua mkopo kashindwa rejesha so vitu vya dukani vikawa vinapigwa mnada.
Basi pale nikaona simu aina ya IPhone 11 Pro max ambayo bei zake huwa ni 1.7m dukani,basi nikaikagua ile simu nikaona kama ipo poa basi nikatamka offer yangu 500,000tsh nikachukua baadae nafika home nakuta sio IPhone kabisa bali wameweka os inayoendana na iPhone isee nilichoka. Sasa je ninaweza kwenda kwenye mamlaka gani inisaidie nipate hela yangu maana hapo nimetapeliwa. Nina risiti ya efd na ya kawaida
Fwala kweli wewe 😅😅basi nikaikagua ile simu nikaona kama ipo poa
Matapeli hawaishi na wajinga pia hawaishi.
Jana wife kapigwa 760,000 kwenye laini za miamala na wale jamaa wanaoipigaga simu.
Yaani licha ya kumpa elimu yote huko nyuma kuwa asije akajaribu kuelekezwa kitu na akafanya kwenye simu za miamala bado alinasa tu.
Hv kalazwa yuko hospitali yaan hasara mara 2.
Damn Dunia ni chungu hii wakat mwingine
😹😹 kamselelekooHatari mimi jamaa angu alikuta sony tv nch 55 akauziwa laki 5 mpaka leo ile tv haiwashi maana akiwasha tu lazima umeme wa 10000 uishe kwa siku na akati umeme wa 10000 anatumia siku sita
Rahisi ni gharamaBora uache.
Watakuambia irudishe. Utarudisha ilo kopo lenye Android yenye skin ya iOS watakuambia sio iyo tunataka iPhone yetu.
Itakulazimu kulipa iPhone 11 tena.
Hakuna cha ulozi wala nini. Tamaa za watu ndiyo zinawafanya watapeliwe. Ni jambo la kuwaza kidogo tu na utaona haingii akilini simu ya iphone iuzwe kwa bei hiyo.dahh, hv huwa wanafanyaje au wanawaroga wateja ??[emoji1][emoji1][emoji1]
Du nimecheka kweli.Unahisi umetapeliwa au umetapeliwa mkuu.
Hata hivyo wao walikuuzia ile simu uliyoishika ukakagua na uzuri ulitamka mwenyewe ofa ya laki 5. Wewe ndio uliamua kuiita iphone 11 pro wenyewe walikuuzia ile uliyoinunua kwa laki 5 ambayo ukiwafuata saa hizi watakupa jina lake vizuri tu
Hakuna mtu nayetapeliwa anakubali mapema kuwa ametapeliwa. Jamaa aliwekewa vipande vya mbao badala ya simu na alipofungua akaona ni mbao akabaki kuigeuza geuza karibu robo saa kama haamini macho yake huku anasema du wameniwekea dawa nini?[emoji23][emoji23] kinacho nichekesha ni hapo unaposema "unahisi umetapeliwa" yani Licha ya kuwa umetapeliwa lakin bado hauamini kama umetapeliwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jina lake lihimidiweJamani wote kwa pamoja tumpe pole mtoa mada, na apongezwe kwa kupata nguvu za kuleta hapa.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa..
.......mtoa mada malizia.
Hapana wanatumia akili hyo ya kusema mtu alikua anadaiwa kwahyo mali ya duka zima inapigwa mnada ili kurudisha deni.dahh, hv huwa wanafanyaje au wanawaroga wateja ??[emoji1][emoji1][emoji1]
Hahaaaaaa mwamba[emoji23][emoji23] kinacho nichekesha ni hapo unaposema "unahisi umetapeliwa" yani Licha ya kuwa umetapeliwa lakin bado hauamini kama umetapeliwa
Hahaaaaaa mwamba[emoji23][emoji23] kinacho nichekesha ni hapo unaposema "unahisi umetapeliwa" yani Licha ya kuwa umetapeliwa lakin bado hauamini kama umetapeliwa
😀😀 unanitisha mkuu ..! Mimi nikimis kubang ndo naenda huko ..wiki tu linanitosha narudi mavumbini kwangu MbogweMie huwa naenda Dar kuwauzia majeneza tu kisha narudi Dom