Sijaelewa, kwamba mteja anaajiriwa?
Safi ila hapo kwenye kuwa na camera napo tatizo, afu huo mshahara huo mhh!
Hapo kwenye mshahara sio kweli aisee, kuna namna ila ngoja nijaribuUtakodisha🤓 mshahara kwa kuanzia sio mbaya huo!
Kuna media naijua wanalipa hiyo pesa kwa video Editor, hapa Tz n hiyo media tuu, hakuna media nyngn inayoweza kukulipa hvy.Kwani ulishawahi kufanya kwenye media wakakulipa tofauti?