Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

Mkwe afanye namna tuache kujiliza kwenye nyuzi aisee😂 jana sijaona soda yangu kwani mliishia wapi? Eti mkwilima MENEMENE TEKERI NA PERESI
Mh nalia na moyo mwenzako alinipa maneno matamu nikasema dunia si ndiyo hii ,saa ngapi asiishie jukwaani tu akagoma kuja PM ,nimekesha natuma meseji kwake ,za hivi .

Wewe
Dada
Mimi ndiye yule ndugu wa seran

Wewe dada tuzungumze

Wewe dada mimi sina majukum njoo tutumie wote

Ila zote hajajibu namuona tu jamvini naogopa hata kumquote
 
Mh nalia na moyo mwenzako alinipa maneno matamu nikasema dunia si ndiyo hii ,saa ngapi asiishie jukwaani tu akagoma kuja PM ,nimekesha natuma meseji kwake ,za hivi .

Wewe
Dada
Mimi ndiye yule ndugu wa seran

Wewe dada tuzungumze

Wewe dada mimi sina majukum njoo tutumie wote

Ila zote hajajibu namuona tu jamvini naogopa hata kumquote
Mwanaume muongo wewe uwiiiiii
Kwann unasema uongo kwenye haraiki mbele ya mama

An way tuyamalize wenyewe darling🫢
Usinisemee nitakupa zawadi🥰
 
Mh nalia na moyo mwenzako alinipa maneno matamu nikasema dunia si ndiyo hii ,saa ngapi asiishie jukwaani tu akagoma kuja PM ,nimekesha natuma meseji kwake ,za hivi .

Wewe
Dada
Mimi ndiye yule ndugu wa seran

Wewe dada tuzungumze

Wewe dada mimi sina majukum njoo tutumie wote

Ila zote hajajibu namuona tu jamvini naogopa hata kumquote
Sijapenda Hata najua basi usiniudhi!!🙄
 
Nimesoma bachelor of laboratory science and technology.
Ninaweza kufanya kazi sehemu zifuatazo.
1. Viwandani
-Nafanya kazi kama laboratory technician (Scientist)
-Nafanya kazi kwenye quality assurance and quality control
- Laboratory manager

2. Migodini
- nafanya kazi kama laboratory scientist kwenye mining plants

3. Taasisi kama Tanzania Agricultural Research Institute(TARI), TAFORI, nafanya kazi Kwa nafasi ya Laboratory Scientist,

4. Idara ya maji, nafanya kazi kama laboratory scientist nafanya treatment of water
5. TBS pia nafanya kazi kama laboratory scientist

OYA DOGO ANAOMBA KAZI HUYO
 
Nimesoma bachelor of laboratory science and technology.
Ninaweza kufanya kazi sehemu zifuatazo.
1. Viwandani
-Nafanya kazi kama laboratory technician (Scientist)
-Nafanya kazi kwenye quality assurance and quality control
- Laboratory manager

2. Migodini
- nafanya kazi kama laboratory scientist kwenye mining plants

3. Taasisi kama Tanzania Agricultural Research Institute(TARI), TAFORI, nafanya kazi Kwa nafasi ya Laboratory Scientist,

4. Idara ya maji, nafanya kazi kama laboratory scientist nafanya treatment of water
5. TBS pia nafanya kazi kama laboratory scientist

OYA DOGO ANAOMBA KAZI HUYO
Sawa tutapost hapa kama zikotokea..
 
Habari, anahitajika mkalimani wa kichina jinsia yoyote, ila wa kike atapewa kipaumbele
Mshahara makubaliano na bosi ila unanizia 500k kuendelea
0752999988 (watume sms tu)
 
8EBD0070-9C8F-42AF-864A-2D65574F5EF2.jpeg
 
Back
Top Bottom