Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 28,795
- 58,426
Daaaah asante sana Seran an mpaka nimetafuta doooh...Anahitajika ICT officer mmoja. Aliyesoma ICT-MCD/MTA/IDIT/ IT mwenye ujuzi zaidi kwenye graphics.
Lakini pia awe na uwezo wa kufanya yafuatayo au majukumu yake yatakuwa haya.
1. Kufuatilia mfumo
2. Kuandaa matangazo
3. Kupost kwenye social media
4. Kusimamia social media
5. Kufanya kazi ndogo ndogo za.mifumo
Zaidi ni kusimamia social meadia.
Mahitaji mengine awe anaka dodoma.
Tuma CV tuu na baadhi ya kazi za design/animation ulizofanya kupitia email/Whatsapp hii.
info@meksoft.co.tz
0679324995
Deadline ya kutuma ni 29/01/2026 saa 12:00 mchana kwani interview itafanyika jumamosi saa 14:00 kwa watakao chaguliwa.
Poor Brain ni kama hii??
Ngoja nitume CV hapa chap