Sasa usijilaumu kwann unajilaumu na wakati ulikua na lengo zuri tuHapana mkuu..
Naona jau kutokana na sasa hvi hali anayopitia .
Sio kama nilikua najua tokea mwanzo maana nilifanya kwa uhakika kabisa ila ishi iliyotokea wanasema biashara sio dua wala bahati.
Biashara imebebwa na customer care asilimia 70 mkuu
😭😭 mama mkavu huyuWewe mi sina pesa ya kukulipa😂
Daaah jamaa alianza kwa madua kama yote...Alijua umempiga kipapai😅
Najiona kama nimemchomesha unajua mpaka sasa hata mimi naona aibu mkuu...Sasa usijilaumu kwann unajilaumu na wakati ulikua na lengo zuri tu
Just relax
Wewe ni me?Daaah jamaa alianza kwa madua kama yote...
Ila biashara ina siri kubwa sana seran naposema mimi kipindi naanza nilikua kila siku usiku lazima nilie..
Show ilikua kali aiseee an daaah wewe acha kabisa usione watu tunataka twende vijijini huko kujifungia sio kama tunatania ni kweli kabisa an
Daaah jamaa alianza kwa madua kama yote...
Ila biashara ina siri kubwa sana seran naposema mimi kipindi naanza nilikua kila siku usiku lazima nilie..
Show ilikua kali aiseee an daaah wewe acha kabisa usione watu tunataka twende vijijini huko kujifungia sio kama tunatania ni kweli kabisa an
Tulia tu hakuna namnaNajiona kama nimemchomesha unajua mpaka sasa hata mimi naona aibu mkuu...
Hii situation ombea isikupate.. huwa namwambia vumilia tu vumilia
Ahahaha basi mkuu yaisheWewe ni me?
Wee kauzu sanaTulia tu hakuna namna
Unadeka mishangazi imekuharibuAhahaha basi mkuu yaishe
😂😂😂😂😂😂😂😂 Daah mkuu najitahidi kuachana nayo lakini naona kabisa kuna nguvu kubwa sana ipo ndani yanguUnadeka mishangazi imekuharibu
Hatari sana haya endelea kula ndaza😂😂😂😂😂😂😂😂 Daah mkuu najitahidi kuachana nayo lakini naona kabisa kuna nguvu kubwa sana ipo ndani yangu
Hiyo n sawa na kusema unahemaje bila kula 😂Sasa unapigaje nyeto wakati hujala?
Unafikirisha sana we mpare🥺
Shida ya kuwapambania watu zaidi ya 60% ndo huwa hii.Najiona kama nimemchomesha unajua mpaka sasa hata mimi naona aibu mkuu...
Hii situation ombea isikupate.. huwa namwambia vumilia tu vumilia
Bora kabisa iwe hvo tu.Shida ya kuwapambania watu zaidi ya 60% ndo huwa hii.
Akitoboa huko hakumbuki Kama wewe ndo ulimsetia game nzima, ila akifel sasa,,,, atakusema kila pande wewe ndo umemsababishia majanga!!
Bora kila mtu ashinde mechi zake
Mkwe afanye namna tuache kujiliza kwenye nyuzi aisee😂 jana sijaona soda yangu kwani mliishia wapi? Eti mkwilima MENEMENE TEKERI NA PERESI😭😭 mama mkavu huyu
Tafuta mtaji kajifiche anza kulima tu matunda utayaona baadaye!Daaah jamaa alianza kwa madua kama yote...
Ila biashara ina siri kubwa sana seran naposema mimi kipindi naanza nilikua kila siku usiku lazima nilie..
Show ilikua kali aiseee an daaah wewe acha kabisa usione watu tunataka twende vijijini huko kujifungia sio kama tunatania ni kweli kabisa an
😂😂nimecheka kwa sauti kubwa mkwe kaingia mitini kile ki banda chako kitadodaMkwe afanye namna tuache kujiliza kwenye nyuzi aisee😂 jana sijaona soda yangu kwani mliishia wapi? Eti mkwilima MENEMENE TEKERI NA PERESI