Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

NAFASI YA KAZI: MADEREVA

Tunatafuta madereva wenye sifa na uzoefu kujiunga na timu yetu.

SIFA ZA MWOMBAJI

Mwombaji anatakiwa kuwa na sifa zifuatazo:

1. Awe na uzoefu wa kufanya mauzo.
2. Awe mwaminifu, mchapakazi na mwenye nidhamu kazini.
3. Awe na leseni ya udereva Daraja E.

MSHAHARA
TSh 350,000 kwa mwezi baada ya makato.

wanahitajika watu waliosoma eletrical, Filter mechanics waliosoma level 1,2,3

JINSI YA KUTUMA MAOMBI
Waombaji wenye sifa wanatakiwa kutuma:

CV (Wasifu wa Kazi); na
Nakala ya leseni ya udereva

Kupitia namba ya simu WhatsApp: 0677 088 098
 
🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝
📢 NAFASI ZA KAZI – ORDER WRITERS

Kisinia Restaurant inatafuta MABINTI WENGI wanaojua kusoma na kuandika vizuri kwa ajili ya kuandika oda za wateja.

📍 Location: Mlimani City
💰 Mshahara: 150,000/= kwa mwezi
🍛 Chakula: Kinapatikana
🚌 Nauli: 2,000/= kwa siku
📅 Anahitajika: LEO HII

📞 Piga simu: 0793 508 808
🔥 MABINTI WENGI WANAHITAJIKA — WAHI NAFASI!
 
Position: HR Intern
Location: Dar es Salaam
Industry: Faith based Organization
Type: Part time

We are seeking for the HR intern to join our team. The ideal candidate should have a bachelor degree in Human Resource Management or related courses; internship experience of not less than 6 months with NGO or related industries will be an added advantage.

Key Responsibilities:
  • Manage the HR database in the portal
  • Provide clerical support to HRM
  • Support the HR unit in implementing other HR function i.e recruitment, engagement, leave management, performance management etc.
  • Ensure compliance to the Organization policies.
  • Any other duties as will be determined in the due course.

How to Apply:
Send CV to
Email: hr@cssc.or.tz
Subject: HR Intern
Deadline for Application: 8th Sept 2026
FEMALE CANDIDATES ARE ENCOURAGED TO APPLY.

Do not circulate it, share it to the suitable candidate only
 
KAZI YA STATIONERY ( MDADA) - NAFASI 2
MOROGORO MJINI

A. QUALIFICATIONS (SIFA ZA AWALI)- SIFA ZA LAZIMA AWE NAZO MWOMBAJI
✓ Awe anajuakusoma na kuandika kwa lugha ya Kingereza
✓ Awe na Elimu kuanzia Diploma
✓ Awe alishawahi kufanya APPLICATION ZA PASSPORT ya KUSAFIRIA mtandaoni.
✓ Awe alishawahi kufanya application za HESLB mtandaoni na application za RITA mtandaoni.
✓ Awe alishawahi kufanya application za AJIRA PORTAL mtandaoni na application zingine mtandaoni.
✓ Awe Mchangamfu kwa Wateja na mwenye nidhamu
✓ Awe anafahamu vizuri Microsoft Word
✓ Awe anafahamu Email na matumizi yake
✓ Awe tayari kufanya kazi kuanzia miaka miwili.
NOTE: KAMA HUNA SIFA HIZI ZA KIPENGELE A, USITUME MAOMBI YAKO TAFADHALI.

B. SIFA ZA ZIADA
✓ Awe anafahamu vizuri Microsoft Excel
✓ Awe anafahamu graphics design (kudizaini cards, poster, n.k)
✓ Awe alishawahi kufanya kazi ya stationery

B. MALIPO/MSHAHARA
✓Malipo kwa mwezi sh. 350,000/= kwa kila mwezi.

C. TAARIFA ZA KUTUMA
✓ Passport size Moja
✓ CV
✓ Barua ya maombi
✓ Kitambulisho

Barua iandikwe kwa anwani hii DIRECTOR, S.L.P 166, MOROGORO.

MAOMBI YATUMWE KUPITIA EMAIL IFUATAYO:-
Email: maombi.job.work@gmail.com

WHATSAPP: 0776130602

Email: maombi.job.work@gmail.com

WHATSAPP: 0776130602

Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 20/09/2026
NOTE: KAMA HUNA SIFA ZA KIPENGELE A (QUALIFICATIONS (SIFA ZA AWALI) USITUME MAOMBI YAKO TAFADHALI
 
Nafasi Mpya Direct hakuna interview…

▶️USAFI
-Mdada wa usafi hospital Temeke
Mshahara 210,000
(Nafasi 1)

-Mdada wa usafi Hospital Buguruni
Mshahara 150,000
(Nafasi 1)

-Mdada wa Usafi ofisi ya usafirishaji Magomeni
Mshahara 180,000
(Nafasi 1)

-Mdada wa usafi Mwenge sehemu ya sheli
Mshahara: 210,000
(nafasi 1)

▶️RESTAURANT

-Wadada wa restaurant Posta
Mshahara 240,000
Na kijana wa kuchoma nyama
(Nafasi 3)

-Wadada wa restaurant Ilala
Mshahara 210,000
(Nafasi 2)

-Wadada wa restaurant Kariakoo
Mshahara 210,000
(Nafasi 2)

Kama unahitaji fika ofisi za ajira na biashara kigamboni sido au wasiliana na huduma kwa wateja
0799529422( WhatsApp)
0725 110 177(siku za kazi tu)
 
TANGAZO LA KAZI
MDADA WA KUUZA DUKA LA SUTI DODOMA

Mdada Mmoja anahitajika haraka kwa ajili ya kufanya kazi ya kuuza katika Duka la Suti, lililopo maeneo ya Shoppers, Dodoma.

Tunatafuta mdada mwenye sifa zifuatazo:

✅ Presentable & Good Looking
✅ Anayejitambua na mwenye Integrity
✅ Professional na mwenye heshima
✅ Mwenye Good Customer Care Skills
✅ Mchangamfu na mwenye uwezo mzuri wa kuwasiliana na wateja
✅ Mwenye umakini na anayezingatia majukumu ya kazi
✅ Awe anaelewa umuhimu wa usiri, heshima na professionalism, kwani duka linahudumia wateja mbalimbali, wakiwemo waheshimiwa.

Mshahara: 400,000-600,000

⚠️ NI DHARURA!
Anahitajika kuwa tayari kuanza kazi hata kesho.

Kama una sifa hizo, au una rafiki anayefaa, tafadhali mwambie awasiliane na huduma kwa wateja ajira na biashara
0799529422
[06/09, 21:33] COMPILER: YESHUA SCHOOL inatafuta walimu wenye uwezo, moyo wa kufundisha na kujituma kwa ajili ya kufundisha masomo yafuatayo:

  • HISTORY
  • ENGLISH
  • KISWAHILI

ZINGATIA:
- Mwalimu anapaswa kuwa na uwezo wa kufundisha angalau masomo mawili kati ya hayo matatu.

Location: Temeke, Dar es Salaam

Deadline: 10 Septemba 2026

Mawasiliano: 0712 721 977
 
Habari ya wakati brother
Nahitaji kuongeza nwalimu wa

1. SCIENCE na MATHEMATICS

2. NURSERY

LOCATION: BUNJU-KWAJESHI DSM

JINA LA SHULE: MORIAH'S SCHOOL.

VIGEZO
1. Awe na uwezo wa kufundisha.

2. Awe tayari kuanza kazi ndani ya muda mfupi.
MAWASILIANO: 0767942933
0767942933
ASANTE.
 
Habari ya wakati brother
Nahitaji kuongeza nwalimu wa

1. SCIENCE na MATHEMATICS

2. NURSERY

LOCATION: BUNJU-KWAJESHI DSM

JINA LA SHULE: MORIAH'S SCHOOL.

VIGEZO
1. Awe na uwezo wa kufundisha.

2. Awe tayari kuanza kazi ndani ya muda mfupi.
MAWASILIANO: 0767942933
0767942933
ASANTE.
Hakika wewe sasa unatumia u platinum member wako vizuri🔥
 
📢🔥 WALIMU, HII NI FURSA YAKO! 👩‍🏫👨‍🏫

Serikali imetangaza nafasi za ajira kwa walimu katika fani mbalimbali:

✅ Physics – Degree & Diploma
✅ English Literature – Degree
✅ Mathematics – Degree
✅ Tutorial Assistant – Kiswahili

💻 MAOMBI YANAFANYIKA KUPITIA AJIRA PORTAL
⏰ Mwisho wa maombi: 17/09/2026

📌 MAHITAJI MUHIMU:
1️⃣ 🪪 NIDA
2️⃣ 📧 Email Active
3️⃣ 📜 Cheti cha Kuzaliwa
4️⃣ 📄 CV (ATS)
5️⃣ 🎓 Vyeti vya Taaluma

🔥 Hata WALIOHITIMU MWAKA HUU wanahusika na wanaweza kuomba!

💻 HUNA ACCOUNT YA AJIRA PORTAL?
Tunakusaidia kuifungua na kukamilisha maombi yako.

✅ Una Account tayari? Tunakusaidia kutuma maombi.
📄 Huna ATS CV? Tunakuandalia kwa gharama nafuu.

💰 MALIPO BAADA YA KAZI
📍 Tunahudumia popote ulipo.

📩 Njoo INBOX kwa maelezo zaidi!

📞 0687 761 142 | 0746 753 121

🚨🔥 USISUBIRI HADI MWISHO — WAHI SASA!
 
NAFASI YA KAZI: MADEREVA

Tunatafuta madereva wenye sifa na uzoefu kujiunga na timu yetu.

SIFA ZA MWOMBAJI

Mwombaji anatakiwa kuwa na sifa zifuatazo:

1. Awe na uzoefu wa kufanya mauzo.
2. Awe mwaminifu, mchapakazi na mwenye nidhamu kazini.
3. Awe na leseni ya udereva Daraja E.

MSHAHARA
TSh 350,000 kwa mwezi baada ya makato.



JINSI YA KUTUMA MAOMBI
Waombaji wenye sifa wanatakiwa kutuma:

CV (Wasifu wa Kazi); na
Nakala ya leseni ya udereva
Kupitia namba ya simu WhatsApp: 0677 088 098
Tuff
 
Back
Top Bottom