Jina lake halis lilikua ni Said Fundi
Pumzika kwa amani mzee kipara, dah timu ya kina mzee pwagu yote imeisha sasa. Eeh Mungu warehemu hawa waja wako. Ameen
pumzika kwa amani babu!
Inna Lillah Waina Illahi Rajoon
"Ewe Mwenyezi Mungu msamehe Mzee Fundi Said na ipandishe daraja yake katika walioongoka, na weka badili yake kwa aliyowacha nyuma na utusamehe sisi na yeye ewe Mola wa viumbe vyote na umkunjulie yeye katika kaburi lake na umtilie mwangaza ndani yake"
"Sisi ni wa Allaah nasi Kwake tutarejea, Ee Allaah Walipe wafiwa kwa msiba huu na uwape badili yake bora kuliko huo"