Nyanya mbichi JF-Expert Member Nov 10, 2011 3,716 2,207 Jan 11, 2012 #1 Swebe amethibitisha kutokea kwa kifo cha msanii saidi fundi maarufu kwa jina la mzee kipara. Source east afrika radio.
Swebe amethibitisha kutokea kwa kifo cha msanii saidi fundi maarufu kwa jina la mzee kipara. Source east afrika radio.
T tizo1 JF-Expert Member Mar 9, 2011 856 145 Jan 11, 2012 #2 Muigizaj nguli MZEE KIPARA AFARIKI DUNIA. R.I.P.BABU
sweetlady JF-Expert Member Dec 24, 2010 16,947 8,409 Jan 11, 2012 #3 RIP mzee kipara. Poleni wafiwa wote.
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,724 Jan 11, 2012 #4 Apumzike mahala pa salama! Pole kwa familia yake! View attachment 45100
Masanilo Platinum Member Oct 2, 2007 22,286 4,493 Jan 11, 2012 #5 RIP mwenyezi Mungu amweke mahali anapostahili
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,131 16,195 Jan 11, 2012 #7 R.I.P, huyo swebe ni mwanae au wakikuwa kundi moja?
S sawabho JF-Expert Member Feb 25, 2011 5,286 3,107 Jan 11, 2012 #8 Pole sana wafiwa. RIP Mzee Kipara.
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,644 68,594 Jan 11, 2012 #9 Aliyekua msanii wa kaole group al-maharufu mzee kipara amefariki dunia leo.mazishi yanafanyika kigogo Source:Swebe akihojiwa na Supamix EA Radio
Aliyekua msanii wa kaole group al-maharufu mzee kipara amefariki dunia leo.mazishi yanafanyika kigogo Source:Swebe akihojiwa na Supamix EA Radio
ngoshwe JF-Expert Member Mar 31, 2009 4,131 931 Jan 11, 2012 #10 R.I.P yaani wasanii wameshindwa kusaidia maisha ya huyu mzee?
nitonye JF-Expert Member Dec 18, 2011 7,273 3,750 Jan 11, 2012 #11 dah huyu mzee namkubali sana R.I.P mzee Kipara
ngoshwe JF-Expert Member Mar 31, 2009 4,131 931 Jan 11, 2012 #12 R.I.P yaani wasanii wameshindwa kusaidia maisha ya huyu mzee?
K kaka dj Member Dec 21, 2011 22 3 Jan 11, 2012 #13 Mungu amrehemu, mzee huyu alikuwa ni kati ya wasanii wa ukweli wa kizazi chake.
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,724 Jan 11, 2012 #14 Mods unganisha hii na ile ingine !
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,644 68,594 Jan 11, 2012 #15 Never give up said: R.I.P, huyo swebe ni mwanae au wakikuwa kundi moja? Click to expand... Alikua nae kundi moja
Never give up said: R.I.P, huyo swebe ni mwanae au wakikuwa kundi moja? Click to expand... Alikua nae kundi moja
Igabiro JF-Expert Member Aug 2, 2010 242 27 Jan 11, 2012 #18 PakaJimmy said: Apumzike mahala pa salama! Pole kwa familia yake! View attachment 45100 Click to expand... R.I.P Mzee Kipara, Unanikumbusha enzi za kuwa baba Mashaka, kijana bazazi kabisa..
PakaJimmy said: Apumzike mahala pa salama! Pole kwa familia yake! View attachment 45100 Click to expand... R.I.P Mzee Kipara, Unanikumbusha enzi za kuwa baba Mashaka, kijana bazazi kabisa..
Kireka1980 JF-Expert Member Mar 18, 2008 302 43 Jan 11, 2012 #20 R.I.P mzee Kipara alikuwa anapatia sana kuigiza kama mtu mwenye msimamo mkali