Mzee kipara afariki Dunia

Nyanya mbichi

JF-Expert Member
Nov 10, 2011
3,716
2,207
Swebe amethibitisha kutokea kwa kifo cha msanii saidi fundi maarufu kwa jina la mzee kipara. Source east afrika radio.
 
Aliyekua msanii wa kaole group al-maharufu mzee kipara amefariki dunia leo.mazishi yanafanyika kigogo

Source:Swebe akihojiwa na Supamix EA Radio
 
R.I.P

yaani wasanii wameshindwa kusaidia maisha ya huyu mzee?

IMG02149-20110917-1829.jpg

IMG02148-20110917-1829.jpg

IMG02147-20110917-1828.jpg
 
Back
Top Bottom