Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,771
- 2,544
Hivi sikinde waliimbaje? Ok, Huruma kwa wagonjwa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka wewe unahitajika kwa Hospital utibiwe Akili hujui unaloliongea kwa Ubepari wenu mliokuwa mwataka kuufanya ambo ndio matokeo yake sasa hivi hawa mafisadi wanaochukiza ndio wanaona Furaha ati angekuwa na Magorofa saba kwa njia ipi?huyu mzee nimemjua tangia enzi za film tanzania 1971 alipoact mchezo wa Simu ya kifo. Alijulikana kama mzee kikaango! Yaani tusingekuwa na azimio la kishetani la Arusha , huyu mzee angekuwa milionaire! Ame a perform michezo mingi sana Radion na katika magazeti lakini Ona alivyoishia kuwa masikini!!!!!!!!!!! Kama angekuwa Kenya au Nigeria, mzee kipara angeishia kuwa na magorofa saba!!!!!!! Usanii katika nchi za kenya na Ghana , Nigeria unalipa sana .
pamoja na sifa zote alizonazo mzee kipara kaishia kuishi nyumba ya babu yake pale living stosne karibu na kina mohamedi makanyaga na alikuwa mesenger au tarish pale railway station karibia maisha yake yote akivaa magwanda yaliyozeeka ya kaki ! Jina lake halisi ni saidi fundi na ana asili ya tabora! Mungu amlaze mahali pema mzee kipara!!
Ona azimio la la kishetani la arusha lilivyo watesa watu wenye vipaji vyao waliotikisa nchi kwa usanii mzuri na kuishia kuchangiwa uji msibani! Nyerere kweli anastahili kuwa mtakatifu jamani? kweli jambo hili lilimpendeza mungu ? baraza la maaskofu, tafadhalini, kuweni waungwana !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!