Mzee kipara afariki Dunia

huyu mzee nimemjua tangia enzi za film tanzania 1971 alipoact mchezo wa Simu ya kifo. Alijulikana kama mzee kikaango! Yaani tusingekuwa na azimio la kishetani la Arusha , huyu mzee angekuwa milionaire! Ame a perform michezo mingi sana Radion na katika magazeti lakini Ona alivyoishia kuwa masikini!!!!!!!!!!! Kama angekuwa Kenya au Nigeria, mzee kipara angeishia kuwa na magorofa saba!!!!!!! Usanii katika nchi za kenya na Ghana , Nigeria unalipa sana .

pamoja na sifa zote alizonazo mzee kipara kaishia kuishi nyumba ya babu yake pale living stosne karibu na kina mohamedi makanyaga na alikuwa mesenger au tarish pale railway station karibia maisha yake yote akivaa magwanda yaliyozeeka ya kaki ! Jina lake halisi ni saidi fundi na ana asili ya tabora! Mungu amlaze mahali pema mzee kipara!!

Ona azimio la la kishetani la arusha lilivyo watesa watu wenye vipaji vyao waliotikisa nchi kwa usanii mzuri na kuishia kuchangiwa uji msibani! Nyerere kweli anastahili kuwa mtakatifu jamani? kweli jambo hili lilimpendeza mungu ? baraza la maaskofu, tafadhalini, kuweni waungwana !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Bila shaka wewe unahitajika kwa Hospital utibiwe Akili hujui unaloliongea kwa Ubepari wenu mliokuwa mwataka kuufanya ambo ndio matokeo yake sasa hivi hawa mafisadi wanaochukiza ndio wanaona Furaha ati angekuwa na Magorofa saba kwa njia ipi?

So nyie mafisadi wezi mwataka kuwatumia wasanii kwa kuwadanganya kuwa wengekuwa matajiri ni njia ya kuchukia Azimio la Arusha kha wewe hakika ni Mchafu... Muwache babu apumzike usije mkera huko aendako akukulaani hapo ulipo..

Kukosekana kwa Azimio la Arusha haukuhusiani na Wasanii waigizaji Azimio la Arusha lilikuwa na Misingi mizuri lingendelea leo kusingekuwa na Kitu kinachoitwa Ufisadi.. na wewe usingekuwa Fisadi ni Mfumo unaotumika China Mafisadi nyote nyie mngeshanyongwa ... Umenikera!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom