Aliyemchoma Mwanamke visu 25 na kumsababisha Kifo afariki dunia akiwa chini ya ulinzi

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,377
8,120
Screenshot_2024-01-02-12-13-09-781_com.brave.browser-edit.jpg

Mtuhumiwa anayedaiwa kusababisha kifo cha Beatrice Minja kwa kumchoma visu mara 25, Lucas Tarimo amafariki dunia akiwa chini ya ulinzi wa Jeshi la Polisi wakati akiendelea na matibabu katika hospitali ya Huruma iliyopo Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro.

Daktari kiongozi wa Hospitali ya Huruma wilayani hapa, Daria Mushi amethibitisha kutokea kwa kifo chake ambapo amesema amefariki jana Jumatatu, Januari Mosi, 2024 saa nne na nusu usiku.

######

IMG_20240102_201509_751.jpg
 
View attachment 2859929
Mtuhumiwa anayedaiwa kusababisha kifo cha Beatrice Minja kwa kumchoma visu mara 25, Lucas Tarimo amafariki dunia akiwa chini ya ulinzi wa Jeshi la Polisi wakati akiendelea na matibabu katika hospitali ya Huruma iliyopo Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro.

Daktari kiongozi wa Hospitali ya Huruma wilayani hapa, Daria Mushi amethibitisha kutokea kwa kifo chake ambapo amesema amefariki jana Jumatatu, Januari Mosi, 2024 saa nne na nusu usiku.
 
View attachment 2859929
Mtuhumiwa anayedaiwa kusababisha kifo cha Beatrice Minja kwa kumchoma visu mara 25, Lucas Tarimo amafariki dunia akiwa chini ya ulinzi wa Jeshi la Polisi wakati akiendelea na matibabu katika hospitali ya Huruma iliyopo Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro.

Daktari kiongozi wa Hospitali ya Huruma wilayani hapa, Daria Mushi amethibitisha kutokea kwa kifo chake ambapo amesema amefariki jana Jumatatu, Januari Mosi, 2024 saa nne na nusu usiku.
Je, Amekufa kifo cha kawaida (natural death) au kuna mkono wa mtu??
Ni kwa nini siku zote hizo alikuwa bado yupo mahabusu ya Jeshi la Polisi badala ya kupekekwa katika Gereza la Mahabusu chini ya Jeshi la Magereza?????
 
FB_IMG_1704186978920.jpg

Pichani bw. Lucas Paul Tarimo anayetuhumiwa kusababisha umauti wa Beatrice Minja kwa kumchoma visu mara 25 mwilini. Naye inasemekana ameaga dunia leo alfajiri.

Sababu za kifo chake hazijawekwa wazi lakini inasemekana alipokuwa anakaribia kukamatwa alikunywa sumu. Inasemekana alipatiwa huduma ya kwanza kutapishwa sumu hiyo lakini amefariki baadaye.

Source: ndugu wa mtuhumiwa
 

Attachments

  • FB_IMG_1704186978920.jpg
    FB_IMG_1704186978920.jpg
    30.2 KB · Views: 5
Je, Amekufa kifo cha kawaida (natural death) au kuna mkono wa mtu??
Ni kwa nini siku zote hizo alikuwa bado yupo mahabusu ya Jeshi la Polisi badala ya kupekekwa katika Gereza la Mahabusu chini ya Jeshi la Magereza?????
Polisi wamemkamata akiwa amekunywa sumu ili ajiue, wakawahi kumpeleka hospital,, nadhani hiyo ndiyo iliyomuathiri Hadi kupelekea kifo chake

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2859936
Pichani bw. Lucas Paul Tarimo anayetuhumiwa kusababisha umauti wa Beatrice Minja kwa kumchoma visu mara 25 mwilini. Naye inasemekana ameaga dunia leo alfajiri.

Sababu za kifo chake hazijawekwa wazi lakini inasemekana alipokuwa anakaribia kukamatwa alikunywa sumu. Inasemekana alipatiwa huduma ya kwanza kutapishwa sumu hiyo lakini amefariki baadaye.

Source: ndugu wa mtuhumiwa
Je, amekufa kifo cha kawaida (natural death) au kuna mkono wa mtu??
 
Back
Top Bottom