Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
Mafiosoo Mbowe
Akiunguruma ufipa yote inaingia chini ya meza
Akiunguruma ufipa yote inaingia chini ya meza
Kweli.Nope,si suala la kumpa mtu yeyote hata asiejulukana uenyekiti,after all hakuna mtu kazuiwa.
Chadema in watu wenye capacity ya kumrithi mbowe,watu Kama Henche,mnyika Tundu Lissu,halima etc.
Watu wenye damu ya chadema,SI mtu anakuja wiki hii,anataka awe mgombea pekee was uenyekiti
Sumaye is not serious
Mkuu labda hujanielewa , umesema "waruhusu "mgombea binafsi ndipo labda ww utagombea, ndipo nikakuuliza Nani aruhusu mgombea binafsi?Wale waliotaka vyama vingi,wangekuwa na fikra kama zako. Wallah leo tusingekuwa na mfumo wa vyama vingi.
Askofu nani ?Nguvu la Sasa nadhani hata Dr slaa kakimbia maana sasa ni risasi la jela.
Askofu yule hawezi
Kabisa amekuja kutafuta maneno CHADEMA sasa ameyapata aende salama.Alikuwa katumwa huyu ameshutikiwa.
Mzee hana hoja wala agenda, tunamtakia mapumziko mema.Tena uongozi wa Chadema Makao Makuu uliniomba mimi kutochukua fomu ya kuomba uongozi wa Kanda ya Pwani ili kumheshimu Mzee Sumaye , kilichobaki ilikuwa yeye kujinadi kwa wajumbe tu , zaidi ya ilichofanya Chadema isingewezekana kuwalazimisha wajumbe .
KUBENEAMafiosoo Mbowe
Akiunguruma ufipa yote inaingia chini ya meza
Alishakuwa mwenyekiti kipindi kilichopita inawezekana wajumbe hakuridhishwa na performance yake.Tatizo nikule upo peke yako halafu inatangazwa kuwa umepigiwa kura za hapana niaibu kubwa na nikweli kuna usulitan pale chadema.na cuf
Kwa sababu alikua mgombea pekee alishajua kachukua kiulainiMzee Sumaye ulipigiwa kura, kushinda na kushindwa ni harakati za uchaguzi. Unadai wajumbe waliwekwa hotelini na walipewa rushwa. Kwa mwanasiasa mkomavu kama wewe haya yalikuwa ya kuzungumzwa kwenye kikao cha kamati kuu na hoja yako isikilizwe.
Heche na Mwambe ni wana chama wa muda mrefu kuliko wewe. Kwanini hawajajivua u wanachama baada ya kukoska kiti cha kanda. Mzee unatufundisha nini sisi wachanga kwenye siasa? Kuwa ukishindwawuchaguzi unajivua u wanachama.