My all time JF crush, Happy womens Day

My all time JF crush, Happy womens Day

Status
Not open for further replies.
Hapo nilipobold si sawa mkuu..
Binafsi ninakuelewa sana naielewa hiyo hali.

Mtake radhi mama yetu tafadhali huko alipo.hakuna mwanamke yeyote duniani anaeweza ifikia thamani ya mama.please edit hiyo kitu tafadhali.

Huyo mwanamke unamzungumzia hapa ni matamanio ya mwili tu unayojuu yake ingetokea ukawa nae hii heshima unayo mpka sasa kabla ya kumpata usingempa baada ya kumpata
Achana na hiyo comment bestie
 
Mimi mwanamke nimeweza wewe mwanaume unashindwa!hebu jikaze kiume basi unaliangusha taifa mkuu
Taifa bila mwanamke hakuna kitu, ili taifa lisonge lazima wananchi wawe na utulivu wa nafsi, she is the only lne ambae anaweza kunipa utulivu wa nafsi

Nitapotea JF moja kwa moja ili kumpotezea, that is the only solution
 
Huyo mwanamama ni yupi huyoo wakuu najitahidi kuntrack hapa
 
Huyo mwanamama ni yupi huyoo wakuu najitahidi kuntrack hapa
Wajanja wameshampata, sema sio rahisi kumjua,ni myulivu sana na sio myu wa kujichanganya wala hana matani ya kijinga, huwa anacomment if only she has sometjing to say, kama hana anakaa kimya

Na akicomment utampenda bureee
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom