Aliekwambia makapuku hatuoi nani?Wewe kapuku huwezi kuwa mume wake, acha kujipa cheo
Ukichunguza vizuri huyo ni ex wako. Trust me !!!Mimi Kuna mtu Alikuja PM...hatukufikia MAKUBALIANO...Ni mwendo wa matusi tu kila Akiona comment zangu...Mara naliwa kimasihara...Mara kahaba...Mara najiuza buguruni...Mara na bwawa la mtera ....MAra nimeshikia Panga anioe yeye haoi Makahaba.......
Nashukuru Mungu moderator wamekuwa wakizifuta baadhi ya comment zaka na mjibu yangu.
Analazimisha Nije na ID mpya....kwakweli
Nimeshangaa Sana na visa vya Huyu mutu
....himSijamwona ila i can feel her
Mwambie wewe hilo guu la taifa lipate mtu wa kulilambalamba hahahahaHata usinipe pole mkuu..hiyo hali nilishaikataaga kitambo na mwamba alitoka kwenye Mishipa yangu ya damu.
Mpaka sasa hajawahi kujua na hatokuja kujua....usikute ni mbabu wa watu hukoo[emoji3][emoji2][emoji2][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Yaaani...sijui Hata anashida gani.... yaani Ni ViTa.
Mpaka nashangaa ingekuwa mtaani angevunja viio vya gari kabisa.
Ni mimiI know this lady and yes she is a very special lady. So beautiful and down to earth ila simtaji [emoji23]
Ni mimi
Ungenisoma vizuri ungenielewa. Mimi nilikuwa najaribu kukusaidia. Please read between the lines.[emoji16]Nimeeleza hapo juu kwamba michango yake inanivutia, how smart she is, mnyenyekevu na ofcourse najua kila myu hapa anampenda ndio maana mnanipiga vita
Haijalishi nimemwona au laa ila tu nampenda, they way she sounds i know she is beautful
Mwisho wa siku sio dhambi kueleza hisia zangu juu ya mtu, nimemkaribisha kila mtu atoa heri ya siku ya wanawake kwa crush wake nashangaa mmebaki mnanishambulia
Mkuu hebu tulia kwanza wewe niache nielezee hisia zangu
Hata usinipe pole mkuu..hiyo hali nilishaikataaga kitambo na mwamba alitoka kwenye Mishipa yangu ya damu.
Mpaka sasa hajawahi kujua na hatokuja kujua....usikute ni mbabu wa watu hukoo😀😃😃🤔🤔🤔🤔
Nimeeleza hapo juu kwamba michango yake inanivutia, how smart she is, mnyenyekevu na ofcourse najua kila myu hapa anampenda ndio maana mnanipiga vita
Haijalishi nimemwona au laa ila tu nampenda, they way she sounds i know she is beautful
Mwisho wa siku sio dhambi kueleza hisia zangu juu ya mtu, nimemkaribisha kila mtu atoa heri ya siku ya wanawake kwa crush wake nashangaa mmebaki mnanishambulia
Mkuu hebu tulia kwanza wewe niache nielezee hisia zangu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]..... Sasa Kama Ni Ex....shida yake Ni Nini?Ukichunguza vizuri huyo ni ex wako. Trust me !!!
Nasubiri anitamkie personally..sijui anaogopa nini maskini😂😂😂😂😂😂😂😂hongera bahati kama hizi haziji mara mbili mbili. Jamaa anateseka sana mliwaze 😜😜😜