My all time JF crush, Happy womens Day

My all time JF crush, Happy womens Day

Status
Not open for further replies.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sasa ole wako uropke mtakatifu..uinunue kesi
Sema hii itakuwa ngumu sana kuibeba[emoji23][emoji23][emoji23]sitaweza

Huwa napima kwanza uzito.


Ila mimi watu wengi sana humu kuna muda automaticalee najikuta hata id zao nyingine nazijua bila wao kujua
 
Nilishawahi kuwa kwenye hiyo hali Chief so naielewa vizuri sanaaaa..nilijikaza kuliko kawaida kumtamkia wala kumfungulia uzi..nilianza kusoma JF offline kwa muda wa mwaka I promised myself sitomfuatilia tena huyu master.nilichagua kumpotezea mazima..it wasn’t easy aiseh..

Gesi wat sasa....ni namuona wa kawaida kabisa na stori tunapigaga hapa hapa kwenye comment na hajijui na hatokuja kujijua
..mwambie basi walau ajue!
 
Ila mimi naona yupo sawa kutojibu.
Unajua kashetani nako kako kazini..anaikimbia dhambi jamani [emoji23]

Hata mimi nikija kuolewa kuna watu sitakuwa nawajibu kabisa yaani..mzaha mzaha baadaye usaha unatumbuka..

Mma,ikyisu kinyalie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naloli
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom