Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,598
- 235,466
Hiyo ya kumjibu kidogo labda sisi ambao bado tunadunda dunda bado[emoji23]Ahaahahhaah unamjibu tu kidogo roho yake ifarijike afu unamtia block. Wewe mkaka wa watu anateseka jamani mweeeh.
Sasa mtu aliyeolewa jamani na mwanaume ameoa amjibu nini?
Ni kumkaribisha shetani awachezee..watu wanaanzaga kiutani hivi hivi baadaye mambo yanaharibika.