ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,788
- 127,968
Mpotezee! After all huyo kaolewa, huwezi kwa namna yoyote kumfanya kuwa wako na yeye ameonyesha kutohitaji interaction na wewe. Inauma lakini kubali tu ukweli kuwa hahitaji kuwa na wewe.Nimejaribu kupotea kwa muda baada ya kuona ananipotezea hajibu PM zangu ila nikashindwa kabisa kukaa bila kuingia humu nisipomuona nahisi kupagawa kabisa
Kuhusu crushes, hiyo ipo sana, wengi kama ulivyosoma wanaingia kwenye infatuation hata hawaelewi, ukipotezea inaisha. Pia ulifanya vizuri kumwambia, so she knows, ulichokosea ni ku fall kwa mtu hata hujamwona. Mwandiko unakufanya uvutiwe na mtu, lakini hiyo obsession naamini ni baada ya kumuona, sasa mzee hata hujamtia machoni...si shida hiyo!!