My all time JF crush, Happy womens Day

My all time JF crush, Happy womens Day

Status
Not open for further replies.
Nikifika kule nikute umeshanipa jina lake! Haya haraka! [emoji23][emoji23] [emoji3][emoji3]
Ohooo
Ukishafika nikute tayari umeshanitajia wa kwako unayesema namjua[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wangu nina uhakika asilimia 100 humjui.
Sijui jini yule dadeq[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Miaka takribani 7 unateseka na 'ghost fantasy' tu na unajiita una mke! Huyo mkeo ana nafasi gani?

Kama kupenda ndo namna hii, basi sijawahi na sitaki.
Mke yupo, ana nafasinyake, najitahidi kumheshimu na kumttosheleza kwa kadri ya uwezo wangu ila the fact kwamba tupo kwente dunia ya utandawazi haya mambo ya mitandaoni hayakwepeki na najitahidi yasiathiri familia yangu ingawa kihisia nimekwisha kabisa kwa huyu crush
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uzi tangu umeanza nauona tu,hadi umefika hapa sijamjua huyo crush wake jamani!
Amtaje tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimeamshamjua ila sitaki kuwa na kiherehere.mwache amtaje mwenyew

Kwa ufupi Hata mimi namkubali sana huyo JF Super Woman 😘😘
 
Wajanja wameshampata, sema sio rahisi kumjua,ni myulivu sana na sio myu wa kujichanganya wala hana matani ya kijinga, huwa anacomment if only she has sometjing to say, kama hana anakaa kimya

Na akicomment utampenda bureee
Mimi nimeshamjua.

Wale ambao bado mtatamani niwatajie[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mimi nimeshamjua.

Wale ambao bado mtatamani niwatajie[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakitaka uwatajie waambie wakulipe mama tupige hela[emoji1787][emoji1787]
 
Nimeamshamjua ila sitaki kuwa na kiherehere.mwache amtaje mwenyew

Kwa ufupi Hata mimi namkubali sana huyo JF Super Woman [emoji8][emoji8]
Mimi nilivyo na machale nishamjua tangu jana.
Ila ngoja nikae kimya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila sema huwa nina kakiherehere sana ka kuropoka.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom