Habari wanajamvi.
WIKI HII inayoishia leo 21 May 2022 Nilikuwa nimekaa mahali usiku nikasikia kwenye radio kwa mbali ilikuwa ni taaarifa ya habari nikawa interested kuisikia lakini bahati mbaya ikawa imepita.
Nimejaribu kuitafuta kwa bidii kwenye mtandao nimeikosa.Inaelekea haina intrest sana kwa waandishi wa habari lkn ni habari muhimu.Mara nyingi tunakimbilia kuripoti habari za ajali inapotokea na sio habari za kinga za ajali au jeshi linapofanya juhudi za kuzuia ajali.Ingekuwa ni habari ya ajali ningeipata dakika au sekunde tu.
Habari muhimu kama hii ilitakiwa kila mahali iwe imerushwa kila mahali kujua hawa madereva wahuni wanaotupotezea ndugu zetu.
Kwa mbali nilisikia madereva wa mabasi waliokamatwa ni wanaofanya safari za dar irnga mbeya na tunduma ambao wanaendesha mabasi kwa kasi na kwa fujo.Kama hii habari ni kweli basi nalipongeza jeshi pa polisi kwa kazi nzuri na huu utaratibu uendelee mikoa yote ikiwezekana kuchuja kabisa madereva wote waliovamia hii fani na kuwatoa kabisa kazi ziko nyingi za kufanya kama unapenda kuendesha gari basi fuata sheria.
Mod kama hii habari haipo basi futa uzi huu.
WIKI HII inayoishia leo 21 May 2022 Nilikuwa nimekaa mahali usiku nikasikia kwenye radio kwa mbali ilikuwa ni taaarifa ya habari nikawa interested kuisikia lakini bahati mbaya ikawa imepita.
Nimejaribu kuitafuta kwa bidii kwenye mtandao nimeikosa.Inaelekea haina intrest sana kwa waandishi wa habari lkn ni habari muhimu.Mara nyingi tunakimbilia kuripoti habari za ajali inapotokea na sio habari za kinga za ajali au jeshi linapofanya juhudi za kuzuia ajali.Ingekuwa ni habari ya ajali ningeipata dakika au sekunde tu.
Habari muhimu kama hii ilitakiwa kila mahali iwe imerushwa kila mahali kujua hawa madereva wahuni wanaotupotezea ndugu zetu.
Kwa mbali nilisikia madereva wa mabasi waliokamatwa ni wanaofanya safari za dar irnga mbeya na tunduma ambao wanaendesha mabasi kwa kasi na kwa fujo.Kama hii habari ni kweli basi nalipongeza jeshi pa polisi kwa kazi nzuri na huu utaratibu uendelee mikoa yote ikiwezekana kuchuja kabisa madereva wote waliovamia hii fani na kuwatoa kabisa kazi ziko nyingi za kufanya kama unapenda kuendesha gari basi fuata sheria.
Mod kama hii habari haipo basi futa uzi huu.