Upepo na mafuriko ya Tundu Lissu yamemkera sn mfalmeKanda ya Ziwa?
Hawa jamaa hawaachagi ushetani.... Wanaweza kufanya hivoMwalimu ambae hato hudhuria atahesabika kama mtoro na atakatwa mshahara. Pia mwanafunzi ambae hato hudhuria atahesabika kama mtoro na kesho atapewa adhabu ya viboko.
Nimejikuta nawaza tu hivyo...
Kweli kabisa.... Hii ilikua Magu jana👇👇Yes ndio maana wanawaacha wanafunzi kuhudhuria kampeni badala ya kwenda shule ili kujaza uwanja. Tena wafanyakazi waeambiwa kufika bila kukosa.
Nipo Mwanza mkuu...Uko Malinyii unatuhadithia mambo ya Mwanza![]()
Hakuna darasa lolote linaendelea leo mkuu....Thibitisha, mm ni MWALIMU hapa Mbugani S/msingi madarasa yanaendelea.Lakini hazuiliwi MTU kwnd kumsikiliza mkuu wa nchi mahali aliko Karibu.
OVER..
Kwa mfano hao wa kwako wamelazimishwaje wakati wako nyumbani hawajaenda shule?Wakuu nilisikia jana lkn sikuamini mpaka asubuhi hii nilipoamua kupiga simu kwenye shule mbili za binafsi ambako watoto wangu wanasoma.
Wameagiza hakuna shule leo na watoto waruhusiwe kwenda kwenye mkutano bila uniform.
Wakuu hii maana yake nini?
Kwa nini kulazimisha kwa kiasi hiki?
Ni kweli mikutano ya magufuli ni Muhimu kuliko elimu ya watoto wetu?
Nimesikitika sn kuhusu amri hii haramu.
Hawashindwi kitu hawa........Mfanyakaz asipoenda watamfanya nini kwa mfano?
Ila kwenye hizi ajira kuna ujinga mwingi sana
Hahahaaa....... Na sisi huu ni ushahidi km tukiibiwa kuraWanataka wajaze ili wakiiba kura wawe na ushahidi
Kwani shazi la Lissu Mwanza, Shinyanga, Simiyu na Mara ni kanda ipi!??Kanda ya Ziwa?
Jamaa wanalazimisha kukubalikaWasanii hawatoshi kuvutia watu mpaka walazimishe watumishi na wanafunzi ili kujaza uwanja!
Halafu utasikia,"asanteni sana kwa kujitokeza kwa wingi,sikutegemea mngejitokeza kwa wingi hivi!Nina deni kubwa kwenu"!
Pumbav,unajitekenya na kucheka mwenyewe!
ENDELEA KUCHEZA VIDUKU, HIZI HOJA NZITO TUACHIESio niulize Mwanza, mi naishi hapa hapa Mwanza......ukiangalia hili nyomi la leo kwenye mapokezi ni zaidi ya mara 3 ya ule upumbafu mliokuwa nao hapa juzi kati viwanja vya furahisha
Dunia iko kiganjani usiishi kama enzibza ujima...Uko Malinyii unatuhadithia mambo ya Mwanza![]()
Sasa hivi sheria hamuna kuna shelia baba kayaiiKatika hali isiyo ya kawaida Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongela amesitisha kufunguliwa kwa shule zote hapo kesho ili waalimu na wanafunzi washiriki kampeni za chama Cha CCM.
Hali hiyo imesababishwa na chama hicho kukosa ushawishi wa watu kuhudhuria mikutano yake bila kulazimishwa na hali imejionyesha pamoja na kutumia wasanii haijasaidia kitu.
Mgombea wa Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu aliingia Mwanza kwa kishindo kikubwa wiki iliyopita na kuvuta umati wa watu ambao wachunguzi wa mambo wanasema huenda ukawa umati mkubwa zaidi kutokea jijini Mwanza.
Wazazi kadhaa wamelaani hatua ya kutumiwa ujumbe mfupi na wakuu wa shule kadhaa wa maandishi unaowataka wasipeleke watoto shule kesho.
Wazazi hao wamesema hiyo ni kinyume na kanuni za Tume ya Uchaguzi na inaonekana waziwazi CCM imeamua kukanyaga sheria hizo.