Mkuu hawa vijana wanajifariji tu hata ikianzishwa watakopeshwa watoto wa kibosire wewe kapuku utausukia tu mkopo. Nimeshasema hamtaki ukweli mnapenda maneno matamu subirini matokeo. Kila kundi la watu mnataka lianzishiwe bank? kweli ? Serkali inatakiwa ifanye reforrms kwenye taasisi za kibanki mtu aweze hata kutumia cheti chake cha chuo kama dhamana kwa mikopo midogomidogo ili kubusti wijana wengi kuwekeza katika maeneo mbali mbali kama kilimo na nk.Yaani wanasiasa wanacheza sana na akili zetu. Katika financial institutions hakuna kitu benki ya fulani! Benki inatakiwa ifanye kazi kifuata banking principles and rules. Benki ya wanawake iko wapi?
Nyerere alianzisha benki ya ushirika iko wapi? Ilikuwa Tanzania Rural Development Bank baadaye Cooperative and Rural Development Bank na mwishowe ikabinafsishwa tu ndiyo hiyo CRDB.
Hawajifunzi tu. Juzi kati tu hiyo ya wanawake imefeli ndiyo ya vijana itafaulu? Yaani wanacheza na akili zetu sana hawa!!!!