Hii imekaa sawa ila shida sio bank shida niasharti ya vijana kukopa
WHY?
Tutaanzisha benki kwa ajili ya kila kundi ktk jamii?
Kwanini tusitatue changamoto zinazopelekea vijana kukosa mikopo toka ktk mabenki yaliyoko sasa hivi?
Hii imekaa sawa ila shida sio bank shida niasharti ya vijana kukopa
Hapa nimepata uhakika wa kuwemo na Mimi kwa Mara ya kwanzaMkeka wa Ma DC wanukia. Vijana tupu. Mh Samia
Mambo ya ajabu,kwa hili hapana aiseeWalimu wana bank.
Wanawake wana bank...
TWB mbona ilishaunganishwa na Bank ya Posta muda tu.Angefufua Kwanza Benki ya kina mama TWB ambayo Kwa Sasa ipo hoi chini ya uangalizi wa BOT.
Na hiyo itaelekea huko huko tu.TWB mbona ilishaunganishwa na Bank ya Posta muda tu.
Na hili ndio tatizo la kujifanya unataka kutatua matatizo ya vijana wakati hata matatizo yao huyajui wala hujawasikiliza.Na hiyo itaelekea huko huko tu.