Mkuu,Walimu wana bank.
Wanawake wana bank...
Yaani wanasiasa wanacheza sana na akili zetu. Katika financial institutions hakuna kitu benki ya fulani! Benki inatakiwa ifanye kazi kifuata banking principles and rules. Benki ya wanawake iko wapi?Hii imekaa sawa ila shida sio bank shida ni masharti ya vijana kukopa
Nasema ivii Mimi Goguryeo nisipopata hii, basi kuna mkono wa mtu hii nchi..
Kwahiyo hiyo benk yetu tukifikisha 40s tunakuwa sio wanachama tena au itakuaje?
"Tutaboresha kilimo cha ubuyu Dodoma"
Hapa nimepata uhakika wa kuwemo na Mimi kwa Mara ya kwanza
..WHY?
..tutaanzisha benki kwa ajili ya kila kundi ktk jamii?
..kwanini tusitatue changamoto zinazopelekea vijana kukosa mikopo toka ktk mabenki yaliyoko sasa hivi?
vijana wa CCM sasa hivi ni vikumbo vitupu!!Mkeka wa Ma DC wanukia. Vijana tupu. Mh Samia
mama anasababisha vijana wa ccm kupishana kwa waganga hii ligi watauwanaMkeka wa Ma DC wanukia. Vijana tupu. Mh Samia
Naangalia kwa mbali naona upepo ukiwaendea vizuri sana waganga wa jadi, wasafisha nyota, Waombezi kwenye makanisa, Manabii na wahubiri, watabiri na wanajimu. Hakika vikumbo vitakuwa vingi sana. Stay tuned!vijana wa CCM sasa hivi ni vikumbo vitupu!!
Mzee wetu Mayalla vipi hahusiki auMkeka wa Ma DC wanukia. Vijana tupu. Mh Samia
Huyo yupo kundi la wazeeMzee wetu Mayalla vipi hahusiki au
Acha ujinga wewe. Huwezi kuongea bila kukashifu marehemu? wewe umeona kawaza mbali sana hujui kuwa zinaweza zikawa ngonjera? Taifa la watu mazo....bi mnapenda kusikia maneno ya kuwafurahisha hamtaki ukweli.Mama ana Maono ya mbali kuliko yule Ibilisi
Masharti magumu pamoja na changamoto kama muda wa kumaliza marejesho pamoja na riba kubwaHii imekaa sawa ila shida sio bank shida ni masharti ya vijana kukopa
Matatizo ya Vijana sio Benki.Na hili ndio tatizo la kujifanya unataka kutatua matatizo ya vijana wakati hata matatizo yao huyajui wala hujawasikiliza.
Duh he derves to be grandfather of all SnipersHuyo yupo kundi la wazee