Tii bila shuruti, hizo habari za kina Ipupa zitakuponza
Mnasema hawana wananchi si mngeruhusu kongamano ili muwazodoe jinsi watakavyokosa watu??huna wananchi utafanya siasa au movement gani sasa?
Jazaneni ujinga tu JPM alikua bingwa wa ukatili leo hii yukwapi? Cha kushangaza wapinzani mnaokejeli kesho wakihamia CCM mnawapa uongozi hku nyie UVCCM mkiendelea kusimama juani tu.Acha ufara kwa mtandao,kaandamane huku kumuunga mkono bwana ako😃😃.
Ila nyie jamaa wajinga aisee😃😃
Kabisa mlijiaminisha kwamba unauungwaji mkono wa kiasi hicho😃
Mwingine yupo busy kwenye Twitter kutoka ubeligiji kuwaambia vijana wa Rock City waingie barabarani wakati yeye anakata mauono huko kwa beberus 😃😃
😃😃 ***** kwahiyo wapinzani waga hawafi.Jazaneni ujinga tu JPM alikua bingwa wa ukatili leo hii yukwapi? Cha kushangaza wapinzani mnaokejeli kesho wakihamia CCM mnawapa uongozi hku nyie UVCCM mkiendelea kusimama juani tu.
Weird!
Mkuu wa mkoa kaweka zuio la mikusanyiko. Makamanda wa Chadema wanasema watakusanyika kwa nguvu kufanya kongamano.
Usiku wa manane wanadakwa. Maana mkuu wa mkoa anazo taarifa za kiusalama.
Je, hapa nani amefanya kosa?
Tusilaumu bila ya kuwa na argument za msingi.
Chadema huwa wanadeka na Hawajui wanataka nn mama awe mkali na Hawa Watu wengine wako ubeligiji Uko afu wanataka Watanzania eti waandamane kwa sababu ya uroho Wao wa kutaka madarakaSio uonevu,anaupiga mwingi..hamna adabu nyie mlianza kumtisha Rais,anawapa utaratibu msubirie mnstukana ,safi Sana ngoja aupige mwingi
Madaraka yanapita so sio kitu cha kuji proud.... Sabaya ni wa kulala kwenye sakafu?😃😃 ***** kwahiyo wapinzani waga hawafi.
Let's go kuandamana barabarani beibi!
Lissu kasema
Kenya jeshi lilikaa pembeni ikawa ni ODM vs NARC yaani panga kwa panga ndio maana mpka leo wanaheshimiana.Chadema huwa wanadeka na Hawajui wanataka nn mama awe mkali na Hawa Watu wengine wako ubeligiji Uko afu wanataka Watanzania eti waandamane kwa sababu ya uroho Wao wa kutaka madaraka
Kwa siku zote na Leo mmeshindwa Nini.Madaraka yanapita so sio kitu cha kuji proud.... Sabaya ni wa kulala kwenye sakafu?
Then mnaringia jeshi ili ku-intumidate watu wasiandamane? Nlidhani ni face off na CCM as civilians. Nakuhakikishia tungeheshimiana zamani sana kama kule kusini.
Ground ipi kwani unaowaona kwenye mikutano hawapo JF/Twitter. Wakijaa kwenye mikutano oooh wameenda kumshangaa mlemavu mara oooh hawapigi kura. Mkija tena mtandaoni oooh multiple ID sio ground!! WTF hivi si tozo zimefutwa baada ya kelele mitandaoni na hata bando hivo hivo?Kwa siku zote na Leo mmeshindwa Nini.
You need real people on the ground and not multiple IDs in social networks.
Pole Sana kamanda najua umechoka balaa Hadi unaburuza ulimi chini😃
Wanazidi kuwapa umaarufu usio na maana, pia wanatengeneza attention paispo sababuSalami wana jamvi nimesikitika Sana kuona kilicho WA kuta viongozi wa chadema waliokua kwenye kongaamano LA katiba mpya kukamatwaa nakutiwa mbaroni na maafisa wapolisi mkoani mwanza tuna laani kitendo hicho kwani ni kitendo cha ovyoo na cha ajabuu Sana kutokea wakati huuu ambayo nchi inahitaji mabadiliko ya katiba
Hiv mkuu nawew unazan Tanzania kuna chama cha upinzan wote hao wanaangalia matumbo yao Ndomana wakishateuliwa tu basi inakuwa mdomo umeziba angalia wakina mdee na wenzake wangekuwa wanajal Watanzania wangepinga kod mbaya za miamalaKenya jeshi lilikaa pembeni ikawa ni ODM vs NARC yaani panga kwa panga ndio maana mpka leo wanaheshimiana.
Samora,Tshisekedi,Kabila, na Museveni na kagame walipinga tawala zao wakiwa ugenini ssa watoto wa juzi mnadhani ni lazima uwepo Dar ndio uwe serious opposition.
Wanafanya sherehe mkuuWakati wewe umesikitishwa, mijusi ya ccm pale Lumumba, imefurahi kweli kweli!
Hizi akili za kondooMbowe aliomba mwenyewe kukamatwa
Ni zao la ccmMaza ni dikiteta mchwara chipukizi.