swissme
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 13,663
- 19,906
kama vigogo wameshindwa wewe raia hiyo buku 2 utaipata wapi ?unasifia magu kushika mpini je umekunywa chai.Inavyoonekana biashara nyingi zilizotegemea serikali kama Mteja mkuu zitaendelea kufungwa kama waendeshaji wake hawatajiri idara mpya ya masoko itakaotafuta wateja wa kawaida,
Sasa ni zamu yetu wananchi wa kawaida kulala kwenye hoteli za nyota tano kwa 20,000/=badala ya 200,000/=
Na kufanya vikao vyetu vya harusi kwenye kumbi Nzuri kwa gharama tunazozimudu.
Nchi hii ni yetu sote.
Jpm shikilia hapohapo.
swissme