MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,185
- 24,055
Ningeelewa hoja yako kama hizi hotel zinazouzwa zinakosa wateja wa kuzinunua.Sasa ndugu, sekta binafsi inapotetereka huyu mtu wa kawaida unayemsema anakuwa na hali gani? coz kuna mengi yanayofuata kukosekana ajira, kupungua mzunguko wa fedha nk. Tajiri hana shida atabadili namna ya uwekezaji na kuchagua utaomfaa yeye
Hizi hotel zilijengwa kwenye uchumi feki wenye matajiri feki.
Kwa sasa gharama zinazotumika kuzinunulia ndizo zilitakiwa ziwe gharama za ujenzi wake.
Hii inaitwa back to real economic activities.