MWANZA: Hotel ya Tai Five yapigwa mnada

MWANZA: Hotel ya Tai Five yapigwa mnada

Sasa ndugu, sekta binafsi inapotetereka huyu mtu wa kawaida unayemsema anakuwa na hali gani? coz kuna mengi yanayofuata kukosekana ajira, kupungua mzunguko wa fedha nk. Tajiri hana shida atabadili namna ya uwekezaji na kuchagua utaomfaa yeye
Kwa mishahara ya wakina pater bola wafunge tu maana unakuta bonge la hotel ukisikia mshahara wake unakufa hapo hapo
 
Inavyoonekana biashara nyingi zilizotegemea serikali kama Mteja mkuu zitaendelea kufungwa kama waendeshaji wake hawatajiri idara mpya ya masoko itakaotafuta wateja wa kawaida,

Sasa ni zamu yetu wananchi wa kawaida kulala kwenye hoteli za nyota tano kwa 20,000/=badala ya 200,000/=

Na kufanya vikao vyetu vya harusi kwenye kumbi Nzuri kwa gharama tunazozimudu.
Nchi hii ni yetu sote.
Jpm shikilia hapohapo.
Haaaaah haaaah
 
Tumejipangaaaaa mwaka huuuu wataisomaaaaaa... cccm oyeeeeeeeee
 
Waacheni waandamanee weeeeeeeee wajinga waleeee ccm mbele kwa mbeleeeeeee
 
Nadhani inapigwa mnada na Crdb bank, coz mwenye hotel kuna miaka kadhaa nyuma alishindwa kurejesha ikawa inaendeshwa chini ya uangalizi wa bank, baadae tena akaendelea kuendesha mmliki, naona mambo yamebana Crdb wameona isiwe taabu.......[/QUOTE

HUYU MZEE TARIMO HANA BIASHARA ZINGINE ZA KU COMPESATE DENI LAKE?
 
Zingine zinapigwa mnada, zingine zimekuwa hostel!!! Imbombo ngafu.

Whats going on jamani, au ndio muda wa kuishi kama mashetani!!!
 
Inavyoonekana biashara nyingi zilizotegemea serikali kama Mteja mkuu zitaendelea kufungwa kama waendeshaji wake hawatajiri idara mpya ya masoko itakaotafuta wateja wa kawaida,

Sasa ni zamu yetu wananchi wa kawaida kulala kwenye hoteli za nyota tano kwa 20,000/=badala ya 200,000/=

Na kufanya vikao vyetu vya harusi kwenye kumbi Nzuri kwa gharama tunazozimudu.
Nchi hii ni yetu sote.
Jpm shikilia hapohapo.
Hujui hao wakitetereka basi inakula kwa wengi waliokuwa wakiwategemea? Ajira ngapi hapo zitapotea?
 

Ana Bureau de change hapa mwanza na niliona kuna member mmoja ameandika humu kwamba ana kiwanda cha maji ya kunywa Moshi
 
anaye inunua atahamisha majengo na kufanyia biashara kenya?naulza tu..
 
kwa hiyo iliuzwa jana au biashara iliendelea?
 
Back
Top Bottom